Tuesday, July 31, 2012

GRAND MALT NA ZFA WATOA POLE KWA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR





Meneja Masoko wa Kinywaji cha Grand Malt, Fimbo Buttalah (kulia) akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddy hundi ya shilingi milioni tano kama sehemu ya rambirambi zilizotolewa kwa pamoja kati ya Grand Malt ambao ni wadhamini wa Ligi kuu ya Zanzibar na Chama cha Soka Zanzibar ZFA. Kushoto ni Makamu wa rais wa ZFA Kassum Suleiman.
 
 Meneja Masoko wa Kinywaji cha Grand Malt, Fimbo Buttalah (kulia) akimkabidhi makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddy Fedha Shilingi milioni tano kama sehemu ya rambirambi zilizotolewa kwa pamoja kati ya Grand Malt ambao ni wadhamini wa Ligi Kuu ya Zanzibar na Chama cha Soka Zanzibar ZFA. 
 
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddy akizungumza katika hafla fupi ofisini kwake wakati akipokea fedha taslimu shilingi milioni tano toka Grand Malt na ZFA kwa ajili ya kuwafariji wale wote waliopatwa na maafa ya ajali ya meli hivi karibuni.
(Picha zote kwa hisani ya Intellectuals Communications Limited)
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
WADHAMINI wa Ligi Kuu ya Zanzibar, ambao ni kinywaji kisicho na kilevi cha Grand Malt kwa kushirikiana na chama cha mpira wa miguu Zanzibar (ZFA), wametoa mkono wa pole kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 5, kwa ajili ya waathirika wa ajali ya boti ya MV Skagit, iliyotokea hivi karibuni.
Akikabidhi pole hiyo kwa Makamu wa Pili wa SMZ, Balozi Seif Idd, Meneja Masoko wa Grand Malt, Fimbo Butallah alisema wameguswa na tukio hilo na wameamua kuungana na Watanzania wote katika kipindi hiki kigumu.
"Tumeguswa na tukio hili na kama Grand Malt ambao tuko hapa Zanzibar kama wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya hapa, tumeamua kuungana nanyi katika kipindi hiki.
"Tunapenda kuwapa pole wote waliofiwa na wale wote waliokuwemo katika boti hiyo na kwa ujumla kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Watanzania wote kwa ujumla," alisema.
Meneja wa Grand Malt, Consolata Adam naye alisema walishitushwa baada ya kupata taarifa ya ajali hiyo na kuamua kuungana na wengine katika kutoa pole yao.
Makamu wa rais wa chama cha mpira wa miguu zanzibar (ZFA) Ally Mohamed, Kassim Suleiman naye alisema walishitushwa pia na ajali hiyo, kwani wamepoteza watu ambao walikuwa mhimili mkubwa katika maendeleo ya mchezo huo visiwani.
Balozi Idd, aliwashukuru Grand Malt kwa pole yao na kusema atafikisha salamu zao kwa wahusika na kuitaka pia iendelee kuwa na moyo huo wa kusaidia pia michezo ndani ya Zanzibar.
Ajali ya MV Skagit ilitokea hivi karibuni katika eneo la Chumbe, Zanzibar na kupoteza maisha ya Watanzania kadhaa

Foreign Exchange Manager -I & MBank





Registry Clerk -United Nations Development Programme(UNDP)

Director, Site and Facilities Operations -The Aga Khan University





Mchina mshindi kuogelea hajatumia dawa

 31 Julai, 2012 - Saa 16:31 GMT

Ye shiwen kutoka China amevunja rekodi ya dunia mchezo wa kuogelea

Msichana muogeleaji wa China Ye Shiwen hajatumia dawa kwenye michezo, mwenyekiti wa Kamati ya Olympiki Uingereza. Amesema hayo baada ya kocha wa Marekani kuonyesha wasiwasi wa kuvunja kwake rekodi ya dunia katika mshindano ya kuogelea.

Mwenyekiti huyo Lord Colin Moynihan amesema Ye, mwenye umri wa miaka 16, alipitia hatua zote za kupimwa kama anatumia dawa hizo na kukutwa kuwa ni safi na anastahili kutambuliwa kwa kipaji chake.

Ye alivunja rekodi yake mwenyewe kwa sekunde tano katika mita 400 Medley.

Kocha mwandamizi wa Marekani John Leonard alisema kufanikiwa kwa binti huyo kulikuwa na mashaka huenda kulikuwa udanganyifu wa kutumia dawa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la makocha wa mchezo wa kuogelea Bw Leonard amesema kufanikiwa kwa mwanamichezo huyo wa China kunamkumbusha mashindano ya kuogelea kwa wanawake ya miaka ya 1980 Ujerumani Mashariki waliokuwa wakitumia utaratibu wa udanganyifu.

"Historia katika mchezo wetu itakuwambia kuwa kila mara tukiona kitu na nitaweka kwenye nukuu kuwa, 'si rahisi kuamini, historia inaonyesha inageuka baadaye kuwa udanganyifu ulihishwa,"aliliambia gazeti la Guardian la Uingereza.

Lakini Ye, ambaye baadaye atamalizia mashindano ya fainali ya mita 200,amejitetea mwenyewe kwa nguvu na kukana kuwa hajawahi kutumia dawa zozote.

Mkuu wa kuzuia udanyanyifu wa dawa kwenye michezo nchini China amesema binti huyo amefanyiwa uchunguzi mara zaidi ya mia moja tangu alipofika London na hakuna kipimo hata kimoja kinachoonyesha kuwa alikuwa ametumia dawa.

Waogeleaji wa zamani na washindi wengine wa Olympiki na hata waatalam wamekuwa wakimuunga mkono Ye.

Lord Moynihan ameviambia vyombo vya habari kuwa kitengo cha kupambana na matumizi ya dawa za kuongeza nguvu kinadhibiti vilivyo suala hilo kwenye michezo hii ya Olympic

"Amepitia kwenye mpango wa Wada kwa hiyo yuko safi. Huu ndio mwisho wa habair hii. Ye Shiwen anastahili kwa kipaji chake." Alisema.

Mwenyekiti wa Kamati ya Olympic Marekani (USOC) amejitenga na maoni ya Bw Leonard na Patrick Sandusky, msemaji wa kamati ya Marekani ameiambia BBC kuwa Wamarekani wanajaribu kumaliza mambo haya na China kwa utaratibu mzuri.

Mmoja wa wajumbe wa wa timu ya uhusiano wa kimataifa ya USOC anatarajiwa kukutana na kamati ya Olympic ya China baadaye Jumanne, kwa mujibu wa mwandishi wa BBC David Bond.

Source:BBC




Tutors 2 Posts -Earth Sciences Institute of Shinyanga



Principal Trade Finance Officer (Head Office) & Senior Insurance Officer (Head Office) -Azania Bank Limited





Watu 13 (majina yametajwa) wakiwamo Walimu, Viongozi wa CWT wamekamatwa na Polisi

POLISI Mkoani Mbeya, inawashikilia watu 13  wakiwemo viongozi wa Chama cha Walimu na Walimu wenyewe kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizosababisha hasara zaidi ya shilingi milioni 100 wakati wa mgomo wa walimu ulioanza juzi.

Kitendo cha walimu hao kugoma kuingia darasani kilisababisha baadhi ya maeneo, wanafunzi  kufanya maandamano ya amani ya kudai haki ya kufundishwa  jambo ambalo linadaiwa kutumiwa vibaya na wahalifu kwani walitumia nafasi hiyo kufanya uhalifu kwa kuiba mali za watu.

Wahalifu hao walichoma ofisi za Halmashauri ya Mbozi ndani ya Mji mdogo wa Tunduma  na kuiba mali zilizokuwemo kama  kompyuta 5 za ofisi, pikipiki yenye namba STK 6264, kumbukumbu na nyaraka mbalimbali.

Wahalifu hao  walivunja milango ya ofisi zote, kuvunja vioo vya magari ya kubebea taka aina FAW  SM 8726, na kuiba betri mbili za gari hilo  na gari dogo aina ya Nissan lenye namba SM 2858 mali ya mamlaka hiyo.

Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani, aliwataja watuhumiwa hao wanaodaiwa kuhusika na uhalifu  na kusababisha hasara ya shilingi  milioni 117, 515,000  kuwa ni Mexon Mbilinyi, Akida Kondo, Chalres Rupia, Athumani Mgala, Stela Garbert, Atiliyo Benard, Nikodemus Exavely, Mashaka Amoni na James Kabuje.

Diwani, alisema kuwa watuhumiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuhusika na uhalibifu wa ofisi ya halmashauri ya mji mdogo wa tunduma ikiwa na kuiba mali yenye thamani zaidi ya milioni 100 na kwamba wote kwa pamoja wamefikishwa mahakamani leo.
Akizungumzia suala la kukamatwa kwa viongozi wa Chama cha walimu pamoja na walimu  alisema watuhumiwa hao wamekamatwa kutokana na tuhuma za kuhamasisha wezao kugoma jambo ambalo ni kinyume cha sheria.

Aliwataja wahusika hao kuwa ni Mwalimu wa Patro Mangula na ni Katibu wa chama cha walimu wilaya ya Kyela ambapo inadaiwa kuwa kiongozi huyo alikuwa akishirikiana na watu wengine kupita mashuleni kuhamasisha walimu waliokuwa wanaendelea na kazi ya kufundisha wajiunge na mgomo.

Wengine ni Mwalimu Emanuel Kyejo wa shule ya msingi Mbebe Wilaya ya Ileje na mjumbe wa chama cha walimu wilaya ya Ileje, Anyakingwe Lwinga na mjumbe wa chama cha walimu ambapo wote kwa pamoja wanatuhumiwa kuhamasisha walimu kugoma.

Aidha, katika uhalifu wa Tunduma, Kamanada Diwani alisema kuwa polisi Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wananchi walifanikiwa kuokoa Mabati 168, Printa moja na mita mbili za maji, Bendera moja ya Taifa na photocopy mashine.

Pia, Kamanda Diwani alitumia nafasi hiyo kutoa ufafanuzi kwa nini askari wake walitumia  Bomu  na risasi katika vurugu hizo ambapo alisema kuwa Bomu hilo lilitumiwa kulitawanyisha kundi kubwa la watu lililokuwa linazidi kuelekea kwenye ofisi za serikali pamoja na Taasisi za kibenki  na kwamba hakuna madhara yaliyojitokeza.

"Baadhi ya watu wamekuwa wakiipotosha jamii kuwa askari walitumia bomu kuwatawanya wanafunzi na ndio sababu za wananchi kuanzisha vurugu jambo hilo si kweli kwani bomu lilitumiwa baada ya kundi la wahuni lililokuwa likivamia ofisi na kuiba mali zilizomo ndani,"alisema.

Alisema,  wakati kundi hilo linafanya vurugu tayari wanafunzi walikuwa wamerejea kwenye makao yao lakini kundi hilo la wahuni ndio lilikuwa likizidi kujikusanya na kuendelea kufanya uhalifu huo huku baadhi wakiwa wanaelekea kwenye eneo la Benki.

"Baada ya walinzi wa Benki kuona kundi hilo linaikaribia benki askari walipiga risasi mbili juu ili kuwatawanya na kwamba zoezi hilo lilisaidia kuwarudisha watu hao waliokuwa na lengo la kufanya uhalifu katika benki hiyo ,"alisema

Aidha,  Diwani aliitaka jamii kuondoa mawazo potofu kwamba huenda vurugu hizo zimechangiwa na baadhi ya wanasiasa jambo ambalo si kweli kwani jeshi la polisi linaamini kuwa kundi hilo la uhalifu halina itikadi yoyote ya siasa.

"Polisi inawashikilia watu hao kwa tuhuma za uhalifu na ninaamini watu hawa ni wahalifu hivyo watafikishwa mahakani kwa makosa ya uhalifu tu na wala hakuna siasa,"alisema

Hata hivyo aliwataka walimu pamoja na viongozi wa chama cha walimu kuacha kuwahamasisha wezao kufanya mgomo kwani wao tayari walitangaza kugoma na wamegoma hivyo kupita mashuleni na kuwakuta wezao wanafundisha na kuwalazimisha kugoma ni uvunjifu wa amani hivyo hatua za kisheria zitachukuliwa zidi yao.

via Mbeya Yetu

ADAM NDITI KUITWA ILI KUCHEZA DHIDI YA NIGERIA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya umri wa chini miaka 20, Ngorongoro Heroes, Jakob Michelsen amesema atakihimarisha kikosi chake kabla ya mchezo wa marudiano wa kuwania tiketi ya kufuzu kwa michuano ya vijana Mataifa ya Afrika kwa kumjumuisha kiungo wa timu ya Mabingwa wa Ulaya, Chelsea, Adam Nditi.
Michelsen alisema kuwa taratibu za kumpata mchezaji huyo zimeanza kufanywa na Shirikisho la Kandanda Tanzania (TFF).
Michelsen alisema, Nditi ambaye anacheza beki wa kushoto au winga wa kushoto atakuwa chachu ya kuivisha timu hiyo inayohitaji ushindi wa kuanzia mabao 2-0 ili kufuzu hatua inayofuata.
Mbali ya Nditi, kocha huyo pia alisema ana matumaini makubwa kuwa mshambuliaji wake, Thomas Ulimwengu wa TP Mazembe.
Alisema kuwa Ulimwengu alipangwa kuja nchini kwa ajili ya mechi hiyo, lakini dakika za mwisho alihairisha safari hiyo na kuifanya kikosi chake kukosa umakini mkubwa katika safu ya ushambuliaji.
"Najua kuwa tuna kazi kubwa mchezo wa marudiano, tunahitaji ushindi si chini ya mabao 2-0 na kuendelea, lazima tuhimarishe kikosi ili kuweza kufikia lengo letu," alisema Michelsen.
Wakati huo huo, Shirikisho la Kandanda nchini (TFF) limesema kuwa litawasilisha malalamiko yao CAF kupinga hatua ya TP Mazembe kumzuia Ulimwengu kuichezea timu yake ya taifa.
Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah alisema kuwa walifuata taratibu zote kwa mujibu wa sheria za mpira wa miguu.
Source:Mwananchi


Nafasi za Kazi Nyingi sana, kama zilivyotangazwa Magazetini

ASSISTANT ACCOUNTANT
Qualification:Holder of Bachelor degree in Accontancy or equivalent qualification from any reputable higher learning institution
Apply: The Managing Director
University of Dar es Salaam
Computing Centre
Box 35062,Dar es Salaam
Details: Daily  News,July 20, 2012
Deadline: July  30,2012

TECHNICAL SALES AND MARKETING OFFICER
Qualification:Holder of a University degree in Business Administratio,
Marketing or Economics
Engineering Management
Apply: The Managing Director
University of Dar es Salaam
Computing Centre
Box 35062,Dar es Salaam
Details: Daily  News,July 20, 2012
Deadline: July  30,2012

MARKETING MANAGER
Qualification: Holder of master’s degree in Business Administration with major in Marketing or
relevant field
Apply: The Managing Director
University of Dar es Salaam
Computing Centre
Box 35062,Dar es Salaam
Details: Daily  News,July 20, 2012
Deadline: July  30,2012

SENIOR RESEARCHER ( ECONOMIC GROWTH, RURAL AND AGRICULTURE DEVELOPMENT)
Qualification: Holder of  at least master’s degree in Economics or a related discipline in Social Scinces from recognized and reputable higher learning institution
Apply: The Executive Director,Research on Povety
Alleviation
Box 33223,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July  31,2012

LIQUORER/CUPPER
Qualification: At  least a Certificate /Diploma in coffee beverage quality evaluation
Apply: Chief executive Director
Tanzania Coffee Research Institute
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July  31,2012

FIELD OFFICERS  - 2 POSITIONS
Qualification: At  least diploma in Agriculture/Hortculture/Agronomy with proven records of achievement
Apply: Chief executive Director
Tanzania Coffee Research Institute
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,
July 17, 2012
Deadline: July  31,2012

EXTENSION  AGRONOMIST
Qualification: At least BSc in Agriculture /Agronomy/Hortculture with proven records of achievement
Apply: Chief executive Director
Tanzania Coffee Research Institute
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,
July 17, 2012
Deadline: July  31,2012

MANAGEMENT INFORMATION
SYSTEMS OFFICER WEBMASTER
Qualification: Holder of a first  degree or equivalent qualification in Computer Science,Computer Engineering,Information Technology  or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,
July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

RESEARCH  AGRONOMIST
Qualification: A minimum of Msc. degree (Crop science /Agronomy) from a recognized University
Apply: Chief executive Director
Tanzania Coffee Research Institute
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July  31,2012

HUMAN RESOURCE OFFICER
Qualification: Degree of Majoring in Human resource, at least one year in relevant field
Apply: Better Life for Tanzania Trust fund (BELITA)
Box 62626,Dar es Salaam
Details: Tel  255-754-722-160
Deadline: July  30,2012

ASSISTANT OFFICE MANAGEMENT SECRETARY
Qualification: Diploma in secretarial services,Business Administration or any other related field from a recognized Institution
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

MANAGEMENT INFOMATION SYSTEMS ASSISTANT - 3  POSITIONS
Qualification:Diploma in Computer Scienc,Information Technology or equivalent qualification
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

ASSISTANT GRAPHIC DESIGNER
Qualification: Diploma in Arts and Design or equivalent qualification
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

ASSISTANT DESKTOP PUBLISHER
Qualification: Diploma in Arts Design or equivalent qualification Apply: Tanzania Social Action
Fund (TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

TRANSPORT OFFICER
Qualification: Holder of a first  degree or equivalent qualification in Mechanical Engineering,Transport logistics and Business Administration or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

DEVELOPMENT COMMUNICATION OFFICER
Qualification: A  first  degree or equivalent qualification in Mass Communicatio,Public Relations and Social Sciences  or any other
related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

PUBLIC WORKS PROGRAME MANAGER
Qualification: A masters degree in Civil Engineering,Land use Planning,Forestry or any other related field from a recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

MONITORING & EVALUATION OFFICER
Qualification: A  first  degree or equivalent qualification in Economics,Statistics,Socialogy or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

MANAGEMENT INFORMATION
SYSTEMS OFFICER
Qualification: Holder of a first  degree or equivalent qualification in Computer Science,Computer Engineering,Information Technology  or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

SAFEGUARDS SPECIALIST
Qualification: Holder of masters degree in Enviroment,Social
Science and Community
development or any other related field from a recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

TRAINING AND PARTICIPATION
SPECIALIST
Qualification: Holder of master’s degree in Social Science,Community development and Human Resources or any other related field from a recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

UNIFIELD REGISTRY OF BENEFICIARIES MANAGER
Qualification: A masters degree in Social Science,business Statistics or any other development related field from a recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

LIVELIHOODS  ENHANCEMENT
MANAGER
Qualification: A masters degree in Entrepreneurshp,Business Administration,Economics or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

CONDITIONAL CASH TRANSFER
MANAGER
Qualification: A Masters Degree in Social Science,Econimics and Business Administration or any other development related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

SOCIAL ORGANISER
Qualification: A first degree in Sociology,Development studies or related field
Apply: Executive Officer,
Aga Khan Foundation Office,
Box 125,Dar es Salaam
Details: The Citizen,July 17, 2012
Deadline:  August 1,2012

COORDINATION  MANAGER
Qualification: Holder of masters degree in Social Sciences,Business Administration,Engineering or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

DISBURSEMENTS MANAGER
Qualification: Holder of master’s degree in Finance,Accounting and Finance Business Administration or any other related field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

DIRECTOR OF COMMUNITY SUPPORT
Qualification: Holder of masters degree in Social Science,Bisiness,Civil Engineering or any othet development related
field from a recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

DIRECTOR OF COORDINATION
Qualification: Holder of masters degree in Business Administration,Human Resource,Engineering,Socialogy or any other development related from a recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

DIRECTOR OF KNOWLEDGE MANAGEMENT AND ADVOCACY
Qualification: Holder of masters degree in computer science
mass communication,
social science or
other development field from a
recognized university
Apply: Tanzania Social Action Fund(TASAF)
Box 9381,Dar es Salaam
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: August 17,2012

LIQUORER/CUPPER
Qualification: At least certificate/ diploma in coffee bevarage qualification
Apply: Chief Executive Officer,
Tanzania Coffee Research
Insttute(TaCRI)
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July 31,2012

FIELD OFFICERS
Qualification: Diploma in Agriculture /Agronomy/Horticulture with provement records of
achievement,computer literate with good reporting skills
Apply: Chief Executive Officer,
Tanzania Coffee Research
Institute(TaCRI)
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July 31,2012

EXTENSION AGRONOMIST
Qualification: At least BSc.in Agriculture /Agronomy/Horticulture with provement records of achievement.
Apply: Chief Executive Officer,
Tanzania Coffee Research
Institute(TaCRI)
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July 31,2012

RESEARCH AGRONOMIST
Qualification: A minimum of MSc.degree (crop science/Agronomy)from a recognized university
Apply: Chief Executive Officer,
Tanzania Coffee Research Institute(TaCRI)
Box 3004,Moshi
Details: Mwananchi,July 17, 2012
Deadline: July 31,2012

SENIOR AGRONOMIST
Qualification: A degree in Agronomy or related field
Apply: Executive Officer,
Aga Khan Foundation Office,
Box 125,Dar es Salaam
Details: The Citizen,July 17, 2012
Deadline:  August 1,2012

ACTION RESEARCH MANAGER
Qualification: A postigraduate University degree in social sciences,environmental sciences,or agro-ecological studies,development studies or other relevant field
Apply:
Executive Officer,Aga Khan Foundation Office,Box 125,Dar es Salaam
Details: The Citizen,July 17, 2012
Deadline:  August 1,2012

RESULTS PROGRAMME MANAGER
Qualification: A postigraduate degree in a relevant discipline such as evaluation,social science or economics,preferably with a research component  and / or specific training in monitoring,evaluation,research methods and data analysis is required
Apply:
recruitment@trademarkea.com
Details: The Citizen,July 17, 2012
Deadline:  August 10,2012

HEALTH SYSTEM SPECIALIST
Qualification: Advanced degree in public health and or other related social sciences including social health/ policy and training health system
Apply: UNFPA Representative
Box  9182  Dar es Salaam
Details: Daily News July 16, 2012
Deadline:  July  27, 2012

MANAGEMENT TRAINEES - 2 POSTS
Qualification: Degree level in
Engineering food processing or related fields
Apply: Managing Director Wakulima Tea Company Ltd
Box  1344 , Dar es Salaam
Details: Daily News July 16, 2012
Deadline:  July  28, 2012

MONITORING  & EVALUATION
TECHNICAL  ADVISOR
Qualification: Bachelor degree in epidemiology,biostatistics publi health international health or
related discipline
Apply: HR@thps.or.tz
Details: Daily News July 16, 2012
Deadline:  July  27, 2012

Adherence and Psychosocial Support fielD officer
Qualification: Diploma or Advanced Diploma in Nursing /Medicine
Apply: HR@thps.or.tz
Details: Daily News
July 16, 2012
Deadline:  July  27, 2012

SUB-GRANTS MANAGER
Qualification: Advanced Diploma in Accountancy or Bachelor degree in Finance or Accounting, Business Administration or Corporate
management
Apply: HR@thps.or.tz
Details: Daily News
July 16, 2012
Deadline:  July  27, 2012

TECHNICAL DIRECTOR
Qualification: MD with at least 5 years of experience in delivering HIV care and treatment services, post graduate training in internal Medicine/Pediatrics/OBGYN/
Microbiology
Apply: HR@thps.or.tz
Details: Daily News July 16, 2012
Deadline:  July  27, 2012

ADVOCACY MANAGER -CHILD RIGHTS
Qualification: Barchelor’s degree ideally in Social Sciences or other related disciplines and experience working
Apply: jobs@savethechildren.or.tz
Details: Daily News July 16, 2012
Deadline:  July  25, 2012

HEALTH SYSTEM SPECIALIST
Qualification: Advance Degree in Public Health,and/or other related social sciences including social/ health policy and planning ,health system
Apply: www.unfpa.org,
UNFPA representative,
Box 9182 Dar es Salaam,
e-mail: tanzania.info@unfpa.org
Details:Mwananchi, July 16, 2012
Deadline:  July 27,2012

RECEPTIONIST
Qualification: A certificate in
medical records keeping from a reputable medical record training institution.
Apply: bulyrecruitment@
africanbarrickgold.com,
bulyanhuluHR2@
africanbarrickgold.com
Details:Mwananchi, July 16, 2012
Deadline:  July 27,2012

PROCESS PLANT OPERATOR
Qualification: Holderof Form Six secondary education certificate or FTC trade test grade one in mechanical or electrical disciplines or Diploma in mechanical or mineral process
Apply: bulyrecruitment@
africanbarrickgold.com,
bulyanhuluHR2@
africanbarrickgold.com
Details:Mwananchi, July 16, 2012
Deadline:  July 27,2012

PHAMACEUTICAL TECHNICIAN
Qualification: Certificate in
Pharmacy from recognized /
registered training institution
Apply: bulyrecruitment@
africanbarrickgold.com,
bulyanhuluHR2@
africanbarrickgold.com
Details:Mwananchi, July 16, 2012
Deadline:  July 27,2012

PHYSIOTHERAPIST
Qualification:Registered occupation therapist/physiotherapist.
Apply: bulyrecruitment@
africanbarrickgold.com,
bulyanhuluHR2@
africanbarrickgold.com
Details:Mwananchi,
July 16, 2012
Deadline:  July 27,2012

ASSISTANT PROGRAME OFFICER
(JAPAN OVERSEAS COOPERATION VOLUNTEERS PROGRAME-JOCV)
Qualification: A Bachelor Degree.
Apply: Senior Representantive,
General Affairs Section,
JICA Tanzania Office,
Box 9450 ,Dar es Salaam
Details:The Citizen,
 July 16, 2012
Deadline:  August 24,2012

INSTRUMENTATION TECHNICIAN
Qualification: FTC in electrical engineering
Apply: recruitement.tulawaka@barrick.com
Details:Daily News,July 13, 2012
Deadline:  July 25,2012

PROGRAME OFFICER(GENERAL AFFAIRS SECTION)
Qualification: A Bachelor Degree.
Apply: Senior Representantive,
General Affairs Section,
JICA Tanzania Office,
Box 9450 ,Dar es Salaam
Details:The Citizen, July 16, 2012
Deadline:  August 24,2012

LOGISTIC AND SUPPLIES OFFICER
Qualification: Higher Diploma or degree in Materials Management
Apply: Executive Director,
Chama Cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania
Box  1372 , Dar es Salaam
Details:The Guardian, July 13, 2012
Deadline:  July 31,2012

CLINICAL SERVICES MANAGER
Qualification: Graduate degree in Medicine,
Paediatric or Public Health 5 years working experience in succesfull implementation of SRH team player
Apply: Executive Director,
Chama Cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania
Box  1372 , Dar es Salaam
Details:The Guardian, July 13, 2012
Deadline:  July 31,2012

MONITORING AND EVALUATION
MANAGER
Qualification: Bachelor degree  preferably in mathematics or
statistics applied Research,
Master’s degree preferred
Apply: Executive Director,
Chama Cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania
Box  1372 , Dar es Salaam
Details:The Guardian, July 13, 2012
Deadline:  July 31,2012

ADMINISTRATIVE  ASSISTANT
Qualification: First degree from a recognized university or a good Diploma in an appropriate
(administration,secretarial studies,record management
Apply:Resident Representative
Belgian Technical Cooperation
Box  23209 , Dar es Salaam
Details:The Guardian, July 13, 2012
Deadline:  July 31,2012

SENIOR OPERATION ASSISTANT
Qualification: Completion of
Secondary education,training in Business Administration is desirable
Apply:The Human Resources
Manager,UNICEF
Tanzania Country Office and sent to: hr.tanzania@unicef.org
Details:Daily News,July 13, 2012
Deadline:  July 27,2012

CHILD PROTECTION SPECIALIST
( BIRTH REGISTRATION )
Qualification: Advanced university degree,preferably in the social
sciences,law or other relevant field
Apply:The Human Resources
Manager,UNICEF
Tanzania Country Office and sent to: hr.tanzania@unicef.org
Details:Daily News,July 13, 2012
Deadline:  July 27,2012

HEAD BOATMAN
Qualification: Form IV/VI Class III Certificate at least two years
working experience
Apply:The port Manager ,
Box 443 Tanga
Details:Daily News,July 13, 2012
Deadline:  July 25,2012

SIGNALLER
Qualification: Form IV/VI Signaller  Certificate stage III at least one year  working experience
Apply:The port Manager ,
Box 443 Tanga
Details:Daily News,
July 13, 2012
Deadline:  July 25,2012

OPERATIONS LCERK ‘C’
Qualification: Form IV/VI operations Clerk ‘C’/Certificate Basic Technician Certificate in shiping and operations Management
Apply:The port Manager ,
Box 443 Tanga
Details:Daily News,July 13, 2012
Deadline:  July 25,2012

OPERATIONS LCERK ‘B’
Qualification: Form IV/VI operations Clerk ‘B’/Basic Technician Certificate in shiping and operations Management
Apply:The port Manager ,
Box 443 Tanga
Details:Daily News,July 13, 2012
Deadline:  July 25,2012

AFFLUENT RELATIONSHIP MANAGER
Qualification: Advance Diploma in Business or equivalent
Apply:Human Resources Business Partiner.
National Bank of Commerce,
Box 1863,Dar es Salaam
Details:The Gurdian,July 12, 2012
Deadline:  July 26,2012

PERSONAL BANKER
(AFFLUENT CENTRE)
Qualification: Advance Diploma in Business or equivalent
Apply:Human Resources Business Partiner.
National Bank of Commerce,
Box 1863,Dar es Salaam
Details:The Gurdian,July 12, 2012
Deadline:  July 26,2012

HEAD-RESOURCE MOBILIZATION
Qualification: Masters Degree in social sciences,Public health,
Economic or Business Administration/Marketing
Apply: The Director of Human Resources and Administration
BMAF
Box 76274 Dar es Salaam
Details:Mwananchi,
July 12, 2012
Deadline:  July 27, 2012

HEALTH SERVICES DELIVERY
PROGRAME MANAGER
Qualification: At least 5 years experience in managing HIV/AIDS ,Maternal health and related health services delivery projects.
Apply: The Director of Human Resources and Administration,BMAF,
Box 76274 Dar es Salaam
Details:Mwananchi,
July 12, 2012
Deadline:  July 27, 2012

ASSISTANT MANAGER - BILLING AND DATA  MANAGEMENT
Qualification: Bachelor degree in statistics,Information Technology or equivalent from a recognized university
Apply:The Managing Director, Mwanza Urban  water & sewerage Authority
Box 317 Mwanza
Details:Daily News,
July 9, 2012
Deadline:  July 27, 2012

CHIEF ACCOUNTANT
Qualification: Degree or Advanced Diploma in accountancy or
equivalent .possesion of CPA (T) or equivalent
Apply:The Managing Director, Mwanza Urban  water & sewerage Authority
Box 317 Mwanza
Details:Daily News,July 9, 2012
Deadline:  July 27, 2012

ASSISTANT MANAGER-BILLING&DATA MANAGEMENT
Qualification: A Degree in Statistics ,Information Technology or equivalent from a recognized University ,Technical training in Data Management with Ms Excel,Ms Access,Ms Access,Ms project
Managent and SPSS,SAS or STATA
Apply:The Managing Director,Mwanza Urban Eater & Sewerarage Authority,
Box  317 Mwanza
Details:Daily News,July 06, 2012
Deadline:  July 27, 2012

CHIEF ACCOUNTANT
Qualification: A Degree or Advance Diploma in Accountancy or Equivalent,Possession of CPA(T)
Apply:The Managing Director,Mwanza Urban Water & Sewerarage Authority,
Box  317 Mwanza
Details:Daily News,July 06, 2012
Deadline:  July 27, 2012

SALES REPRESENTATIVES
Qualification: A MSc Electrical/Mechanical/Electrical Mechanical Engineering Background
Apply:The Human Resources
Manager
Box 9262,Dar es Salaam
Details:Daily News,July 06, 2012
Deadline:  July 27, 2012

MONITORING AND EVALUATION EXPERT FOR TB AND LEPROSY
PROGRAME
Qualification: Master’s degree in one of the following; Monitoring and evaluation,public health social science or statistic
Apply:Programe Manager Zanzibar AIDS control programe,
Ministry of Health
Box 1300,Zanzibar
Details:Daily News,May 05, 2012
Deadline:  August 02, 2012

LOGISTICS AND PROCUREMENT
SPECIALIST
Qualification: A qualified pharmacist,medical doctor or other public health professional
Apply:Programe Manager Zanzibar AIDS control program,
Ministry of Health
Box 1300,Zanzibar
Details:Daily News,May 05, 2012
Deadline:  August 02, 2012

MEDICAL OFFICER,MNAZI MMOJA HIV CARE ANDTREATMENT CLINIC
Qualification: Degree in medicine, a master’s degree in public health or related field will be added
advantage
Apply:Programe Manager Zanzibar AIDS control programe,
Ministry of Health
Box 1300,Zanzibar
Details:Daily News,
May 05, 2012
Deadline:  August 02, 2012

ACCOUNTS
Qualification: University degree majoring in accountancy or Advanced diploma in Accountancy or any equivalent qualifications
Apply: Human resource Executive Peno and Associates
Box 1066, Moshi
Details: Daily News ,June 28, 2012
Deadline:  July  30, 2012

CONSULTANT TO CONDUCT AN
ASSESMENT ON QUALITY OF HIV/STI DATA HEALTH FACILITY,DISTRICT AND NATIONAL LEVEL AS WELL AS DESIGN A QUALITY ASSURANCE SYSTEM
Qualification: Master’s degree or Higher in Public Health,Epidemiology,Monitoring and Evaluation Demography,Health Management Information system and
Social Sciences
Apply: Programe Manager Zanzibar AIDS control program, Ministry of Health
Box 1300,Zanzibar
Details:Daily News,May 05, 2012
Deadline:  August 02, 2012

 CLINICAL OFFICERS,MNAZI MMOJA CARE AND TREATMENT CLINIC
ZANZIBAR -  2 POSITIONS
Qualification: Diploma in clinical medicine from a recognized medical training Institution or related field will be added advantage
Apply:Program Manager Zanzibar AIDS control programe,
Ministry of Health
Box 1300,Zanzibar
Details:Daily News,May 05, 2012
Deadline:  August 02, 2012

DEPUTY DIRECTOR OF DISABILITY HOSPITAL
Qualification: Master’s Degree or Postgraduate Diploma in Health or Business/General-Management
Apply: CCBRT Human Resources,
Box 23310 Dar es Salaam
Details: The East African
June 25-July 1, 2012
Deadline:  July  30, 2012

UNION LEGAL OFFICER
Qualification: Degree in Laws
Apply: The General Secretary,
Tanzania Mines,Energy,
Construction and Allied Workers Union
(TAMICO),
Box 72136,Dar es Salaam
Details: Daily News,June 28, 2012
Deadline:  July  30, 2012

ACCOUNTANTS
Qualification: University Degree in Accountancy or Advance diploma in Accountancy or any equivalent qualifications (CPA,ACCA) and computer literacy.
Apply: Human Resource Executive,
Peno & Associates,
Box 1066 Moshi
Details: Mwananchi,
June 28, 2012
Deadline:  July  30, 2012

ACCOUNTANTS
Qualification: University degree in Accountancy or Advance diploma in Accountancy or any equivalent qualifications (CPA,ACCA) and computer literacy.
Apply: Human Resource Executive,
Peno & Associates,
Box 1066 Moshi
Details: Mwananchi,
June 28, 2012
Deadline:  July  30, 2012

Manchester United aim to raise £210m on New York Stock Exchange

The Red Devils' American owners the Glazers recently announced their intention to sell Class A and B shares and have now released full details of the listing



Friendly:  Manchester United - Shanghai Shenhua
Other
Manchester United have released full details of their initial public offering on the New York Stock Exchange, which they hope will raise up to $330m (£210m).

The Red Devils announced their intention to float shares earlier this month in a bid to pay down the significant debt loaded onto the club as a product of the Glazer family's takeover in 2005.


The Americans bought the club for £790 million but, due to the loans used in order to make the purchase, are currently attempting to fight £423m worth of interest repayments.

UNITED RECLAIM LEAGUE TITLE
3.25 Man Utd are 3.25 with bet365 to win the Premier League next season

In documents filed with the US Securities and Exchange Commission, the club have stated they will release 16,666,667 shares in total - with 8,333,333 of those being ordinary Class A shares priced between $16.00 and $20.00 (£10-£12).

However, the Glazers intend to hold on to the remaining 8,333,334 Class B shares which ensure they retain 10 times as many voting rights on the club's board as those who hold Class A shares.

CHAMLEONE KAANZA PROPAGANDA ZAKE ZA KITOTO!


 
Hii ni picha na maneno ya kuomba radhi yanayodaiwa kutolewa na Eric Shigongo ambayo yamewekwa kwenye mtandao wa Uganda, ikiwa ni propaganda za kitoto za Chameleone za kujaribu kujikosha kwa mashabiki zake. Awali, picha na maneno haya yaliandikwa kwa Kiswahili kibovu na kuwekwa kwenye Fan Page ya Chameleone kwenye facebook, alipoona watu wameshitukia Kiswahili kibovu kilichotumika ambacho hakiwezi kuwa cha Shigongo, wakaamua kuondoa pamoja na taarifa zingine za kipuuzi alizokwisha weka. Hivi sasa picha hii imebadilishwa na kuandikwa kwa Kiingereza cha Kiganda na kisha kuwekwa kwenye mtandao wa Uganda, mtaona ni kiasi gani zinafanyika kampeni za kutaka kumsafisha Chameleone ambaye alishachafuka siku nyingi! Shigongo HAS NEVER, AND HE NEVER APOLOGISE TO 'Dr. Jose Chameleone'!

OLYMPICS London 2012


 
Bondia wa Tanzania Selamani Kidunda mwenye fulana nyekundu akiwa na viongozi na baadhi ya wadau wa michezo wakati akienda kupigana na Bondia toka Moldova  BELOUS Vasilii, Kidunda alipoteza mchezo huo kwa point 7-20.
 

Baadhi ya viongozi wa michezo walioko London, kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa michezo nchini Ndg.Thadeo, Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania Ndg.Gullam, Makamu wa Rais wa Kikapu Tanzania Ndg.Magesa na Kiongozi wa msafara wa timu ya Tanzania Ndg. Jarufu.
 

Wadau wa michezo walioko London, kutoka kushoto Ndg. Amosi Msanjila afisa wa ubalozi London, Mtangazaji maarufu wa BBC Ndg. Charles Hilary, Makamu wa Rais wa TBF Ndg. Phares Magesa, na Mchambuzi mahiri wa Michezo wa BBC na mmliki wa tanzaniasports.com Ndg. Israel Sari

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akagua Ujenzi wa Barabara Ya Kiwango Cha Lami Manispaa ya Dodoma


 Mafundi wakijenga daraja katika barabara za eneo la Kisasa kwenye Manispaa ya Dodoma  Julai 29,2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha lami  katika manispaa ya Dodoma Julai 29, 2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

IKULU:Rais Jakaya Kikwete Afuturu na Viongozi na Wawakilishi wa Madhehebu Mbalimbali ya Dini Jijni Dar es Salaam


Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na viongozi na wawakilishi wa madhehebu mbalimbali ya dini walioshiriki katika futari aliyoiandaa kwa viongozi wa dini ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.Picha na Freddy Maro-IKULU

Taswira:Naibu Waziri, Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala Akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promosheni Alex Msama Bungeni Mjini Dodoma


Naibu Waziri, Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promosheni Alex Msama nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana(Na Mpiga Picha Wetu

Monday, July 30, 2012

Head of Research, Policy and Advocacy (RPA) -WaterAid




Wasiooana wapigwa mawe hadi kufa Mali

 30 Julai, 2012 - Saa 19:12 GMT

Mji wa Timbuktu kaskazini mwa Mali

Wapenzi ambao walifanya mapenzi nje ya ndoa wamepigwa mawe hadi kufa mwishoni mwa wiki na wapiganaji wa kiislam katika mji wa Aguelhok kaskazini mwa Mali, maafisa wamesema.

Mwanamume na mwanamke huyo walizikwa mpaka kwenye shingo na kupigwa mawe hadi kufa.

Kaskazini mwa Mali nusu yake inaendeshwa na waasi wa Tuareg na wapiganaji wa Kiislam baada ya mapinduzi katika mji mkuu wa Mali.

Aguelhok katika eneo la Kidal alikuwa ni wa kwanza kukamatwa na waasi wa Tuareg .

Waislamu katika eneo la Aguelhok waliwapiga mawe mpaka kufa watu hao mbele ya watu 200 maafisa wamesema.

"Nilikuwepo. Wapiganaji hao wa Kiislamuwaliwachukua watu hao katikati ya Aguelhok. Watu hao waliwekwa kwenye mashimo mawili na wakapigwa mawe mpaka wakafa." Afisa wa serikali eneo hilo alisema.

"Mwanamke alizimia mara baada tu ya mapigo," alisema, akiongeza kuwa mwanaume alipiga kelele mara moja tu na baadaye akanyamaza.

'Wavamizi'

Uasi wa Tuareg kaskazini ulichangia mapinduzi ya kijeshi mwezi Machi na kusababisha vurugu za makunbdi ya wapiganaji wa kiislam na kasha kuchukua udhibiti wa miji kadhaa ya kaskazini.

Bw Traore alisema ataongoza mazungumzo kuunda serikali ya umoja wa kitaifa nchini Mali na kuongoza juhudi za kuanzisha mazungumzo na Waislamu.

"Wananchi wa Mali hawana budi kuungana dhidi ya wavamizi," alisema, akimaanisha wapiganaji wa kigeni wa jihadi ambao wanatuhumiwa kudhibiti eneo la kaskazini.

"Kutokana na ugumu wa mgogoro huu na ukubwa wa mateso ya watu wa Kaskazini, kwa pamoja, nasema pamoja, tunaweza kusafisha njia mbele yetu kuiweka huru nchi yetu kutoka kwa wavamizi hawa, ambao wanaacha uharibifu na huzuni, na kuwasababishia watu wetu maumivu, " alisema Bw Traore.

Kumekuwa na shutuma kutoka jumuiya ya kimataifa kwa wapiganaji wa kiislam katika mji wa zamani wa Timbuktu wakilaumiwa kwa kuharibu kumbukumbu za karne nyingi za viongozi muhimu wa dini ya Kiislam ambao wanaheshimika kwa Waislam wa madhehebu ya Sufi.


Source:BBC


Picha za Vurugu kubwa iliyo sababisha Polisi wapige mabomu ya machoizi kuwatawanyisha wanafunzi walio andamana kushinikiza walimu wawape mitihani kabla ya shule kufunga, wakati walimu hao wameanza mgomo Leo!





Wananchi wa Tunduma wakiwa wanashuhudia Live tukio la wanafunzi wa shule za Msingi Tunduma walipo goma
 Watu wakiwa wanatawanyishwa na Mabomu ya machozi 
 Njia ya Kuelekea Boda la Tunduma ikiwa imefungwa 
 Wanafunzi na wananchi wakiwa wanachoma baadhi ya Maeneo Tunduma 

Hizi ni Picha za awali ambazo tumepiga Live wakati wa vurumai hiyo... Picha kamili na taarifa inakuja

Mbeya yetu Blog

Rio Ferdinand ashitakiwa na FA



Rio Ferdinand

Chama cha FA kimempa hadi tarehe 2 Agosti kujitetea

Chama cha kandanda cha FA nchini Uingereza, kimeelezea kwamba kitamshitaki mchezaji wa Manchester United, Rio Ferdinand, kufuatia maandishi yake katika mtandao wa kijamii wa Twitter.

Ferdinand alikanusha habari kwamba yeye ni mbaguzi wa rangi, kufuatia maneno yake kuhusiana na "choc ice", akimaanisha barafu ya kula yenye rangi mbili, katika kuelezea mchezaji wa Chelsea, Ashley Cole, ni mtu wa aina gani.

"Choc ice" ni maneno ambayo hutumia kuelezea juu ya rangi nyeusi na nyeupe katika barafu hiyo, na ni maneno yanayoweza kutumiwa katika kuelezea kwamba mtu fulani juujuu ni mweusi, lakini ndani hasa yeye ni mweupe.

Ferdinand, mwenye umri wa miaka 33, ana muda wa kujitetea, hadi saa kumi, tarehe 2 Agosti, kabla ya kuchukuliwa hatua zaidi.

Taarifa katika mtandao wa FA inaelezea: "Madai ni kwamba mchezaji huyu alionyesha tabia isiyokuwa nzuri/na kwa njia inayouletea mchezo fedheha kwa kuandika maneno hayo kuhusu asili au rangi."

Cole, ambaye ni mchezaji wa ulinzi wa Chelsea, alifika mahakamani kama shahidi wakati wa kumtetea mchezaji mwenzake katika timu, John Terry, na ambaye mahakama ilimuondolea mashtaka kuhusiana na ubaguzi wa rangi.

Terry alikuwa ameshtakiwa kwa kutumia matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya mdogo wake Ferdinand, Anton, katika mechi iliyochezwa tarehe 23 Oktoba mwaka jana.

Terry, mwenye umri wa miaka 31, tayari ameshtakiwa na chama cha FA kwa tabia isiyofaa, dhidi ya Anton Ferdinand, na ameapa kujitetea kuhusiana na madai hayo.

SOURCE: BBC


MwanaHalisi kufungiwa: Ni jamii ya wa-Tanzania au ya Wagagagigikoko?

Nimekuwa hapa Tanzania kwa wiki sita, na nimesoma nakala za MwanaHalisi zilizotajwa hapa. Nimejumuika na wananchi katika kujadili mambo mengi, likiwamo suala la ripoti na uchambuzi wa MwanaHalisi. 

Kila mahali nilipopita, kama vile Tanga, Arusha, Dar es Salaam, na Songea, wananchi wanalipenda na kuliheshimu gazeti la MwanaHalisi. Mhariri Saeed Kubenea anaheshimiwa na kushukuriwa na wananchi kwa kazi yake anayoifanya kwa umakini. Huo ndio mtazamo wa wananchi, nilivyoshuhudia. Sasa serikali inavyodai kuwa MwanaHalisi halina tija kwa jamii, lazima niulize ni jamii gani hiyo? Ni jamii ya wa-Tanzania au ya Wagagagigikoko?

Kitendo cha serikali kulifungia gazeti hili ni kitendo cha uchochezi, kwa maana kwamba kitawaudhi au watu. Kama serikali inadhani kitendo hiki kitawaridhisha wananchi, itafakari upya.

Serikali haikatazwi kuandika makala ndefu kwenye magazeti yake, kukanusha taarifa zinazochapishwa na MwanaHalili. Ingekuwa na utaratibu wa kufanya hivyo, na kuzimisha hoja za MwanaHalisi kwa hoja, ningeiheshimu hii serikali. Lakini kwa vitendo hivi vya kutumia mabavu, serikali inajivunjia heshima mbele ya jamii.

Siku za karibuni, MwanaHalisi imekuwa ikiripoti habari za Dr. Ulimboka. Kitendo cha kulifungia gazeti hili kinatatanisha na kuzua masuali. Mungu amemnusuru Dr. Ulimboka. Wengi tunamwombea apone, atupe taarifa zaidi za yale yaliyompata. Tunahitaji kujua.

Sasa je, kama serikali inasema taarifa za MwanaHalisi ni uzushi, je serikali inapangia kumzuia Dr. Ulimboka asiwaeleze wananchi mambo hayo?

Serikali ingekuwa na busara, ingetafakari sana masuala haya ya Dr. Ulimboka kama yalivyoripotiwa na MwanaHalisi. Kulizuia gazeti hili, nahisi kutaimarisha dhana iliyozagaa katika jamii kwamba serikali inahusika katika shambulio dhidi ya Dr. Ulimboka. Inawezekana serikali haihusiki, lakini vitendo hivi vinaweza kuwa ni vya hasara kwa serikali yenyewe.

Nimalizie kwa kusema kwamba naudhika na vitendo vya kuhujumu haki yangu ya kusoma ninachotaka kusoma. Ni mtu mzima na nina akili zangu. Naweza kuchambua chochote ninachosoma. Serikali inapozuia gazeti au kupiga marufuku kitabu naona
inawatukana wananchi, kwamba hwawana akili ya kusoma na kuchambua mambo. 


AngloGold Ashanti Australia 2013 Scholarship - Geology


A Golden Opportunity!

You can't pour yourself completely into study without support. That's why AngloGold Ashanti Australia is offering scholarships to students studying key mining disciplines.

AngloGold Ashanti is a global resources company with 21 operations across four continents, a substantial project pipeline and an extensive, worldwide exploration program.

AngloGold Ashanti is committed to the leadership philosophy that people are the business...our business is people and we seek continuous improvement through our people and our assets. We recognise mutually beneficial relationships with our stakeholders while identifying innovative initiatives to strengthen these relationships. Safety is the number one value in a workplace that promotes trust, teamwork and accountability.

The Australasia region of AngloGold Ashanti conducts its operations predominantly in Western Australia through the Perth Corporate Office, Sunrise Dam Gold Mine and the Tropicana JV (with Independence Group NL).

If you are going into your 2nd, 3rd, or final year of Geology study in 2013, you may be eligible for a scholarship. Scholarships include financial assistance, work experience, and the potential to work for a global company when you have completed your studies.

Apply now for this golden opportunity! Applications close 6pm AWST, Sunday 12 August 2012

Attachments:
- Scholarship FAQs.pdf

Middle East Jobs


Laboratory Manager - Oman ( 5-30plus yrs. )
ICP Gulf
Bidbid - Oman
One of the leading Contractors in the GCC is seeking a Laboratory Manager for a major Infrastructure Project in Oman. Our client is one of the busiest Contractors in the Middle East at present and is ...
 
Chemist ( 2-6 yrs. )
SEW
Dammam/Khobar/Eastern Province - Saudi Arabia , Jeddah - Saudi Arabia , Riyadh - Saudi Arabia
• Perform all kind of Analytical tests like pH, TPH, TDS, DO, COD, BOD, Chloride, Bromide, fluoride, Particle size and Heavy metals test analysis etc. • Work on ICP, GCMS, GCFID and UV instruments af ...
 
Laboratory Technologist - Histopathology ( 2-20 yrs. )
Ministry of Higher Education
Riyadh - Saudi Arabia
Performs a variety of technical laboratory procedures according to Medical Center, laboratory and national standards to obtain patient specimens using to ensure specimen quality used to aid in the dia ...
 
Process & Procedures Engineer ( 7-17 yrs. )
Island Falcon Technical Services
Abu Dhabi - United Arab Emirates
Provides technical support to Process Operation, Utility and Maintenance Team, to ensure continuous, efficient and safe operations by: studying and suggesting plant modifications, monitoring. Followin ...
 
HSE Superintendent - Borouge Shutdown Project - Short Term ( 8-10 yrs. )
Kharafi National KSC (Closed)
Abu Dhabi - United Arab Emirates
Experience in handling HSE responsibilities in major Shutdowns in Refinery/ Petrochemical plants. Knowledge in all hazards/ remedies involved in shutdown. Experience in Work Permit System, Risk Assess ...
 
Laboratory Technologist - Microbiology ( 2-20 yrs. )
Ministry of Higher Education
Riyadh - Saudi Arabia
Performs a variety of technical laboratory procedures according to Medical Center, laboratory and national standards to obtain patient specimens using to ensure specimen quality used to aid in the dia ...
 
Engineers - Civil/Chemical/Elec/Petroleum/Electronics/Mech/Minining ( 1-15 yrs. )
WWICS Ltd. (World Wide Immigration Consultancy Services)
Australia - Australia
Engineers - Civil /Chemical /Electrical /Petroleum /Electronics /Mechanical /Mining Engineering Professionals are in great demand in Australia. WWICS has a vast experience in processing the cases of t ...
 
Process & Procedures Engineer (Offshore-based) In Umm-Shaif Field divi ( 7-15 yrs. )
ASAS Human Resources LLC
Offshore - United Arab Emirates
Provide onsite technical support to field operation to ensure continues , efficient and safe operation. · Monitor operational performance to plan / Equipment and system. · Assist r ...
 
Sr. Environment Engineer SA Citizens Only ( 7-8 yrs. )
Best Jobs
Abu Dhabi - United Arab Emirates
B.Sc. in Environmental Science, Chemical Engineering or equivalent with adequate training in environment protection and monitoring. Minimum 7 years experience in an environmental management and compli ...
 
Navaids Technician ( 5-10 yrs. )
National Ports Services Company Ltd.
Dammam/Khobar/Eastern Province - Saudi Arabia
We are urgently looking for hiring a Navaids Technician. ...

WANAFUNZI WAMPIGA MWALIMU KWA KUTOSHIRIKI MGOMO



MWALIMU  mmoja  wa jinsia ya kike aliyefahamika kwa jina moja  la Kahimba  wa shule ya msingi  ya Kambarage  iliyopo    Kata ya Msamala katika Halmashauri ya  Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma  amajeruhiwa vibaya  kwa kupigwa  sehemu mbalimbali za mwili  na kundi  linalodaijwa kuwa ni la wanafunzi wa shule hiyo ambao  wanadaiwa kuwa na hasira  baada  ya walimu wengi wa shule hiyo kutoonekana  eneo la shule kufuatia mgomo wa chama cha Walimu  (CWT).

Akizungumuza na waandishi wa habari hizi Mjini Songea  mwalimu mkuu wa shule ya msingi  Kambarage  Adolfina Ndunguru alithibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo alidai kuwa  ni udhalilishaji  mkubwa kwa mwalimu kupigwa na wanafunzi.

Ndunguru alisema kuwa  yeye pamoja na walimu wenzake hawakuweza kufika  kwenye eneo la shule kwa kuwa wao ni walimu ambao wamekubaliana kugoma  kutokana na Serikali  kushindwa kutimiza  ahadi yao wanayodai.

Alifafanunua kuwa  inadaiwa kundi la wanafunzi lilipomuona mwalimu Kahimba kwenye  eneo la shule hiyo lilimvamia na kuanza kumpiga mawe sehemu  mbalimbali za mwili na baadaye  alifanikiwa kukimbia.

Kwa upande wa baadhi ya walimu  wa shule za msingi,Sekondari na Chuo cha Ualimu cha Songea kilichopo Manispaa ya Songea ambao wameomba majina yao yahifadhiwe walisema kuwa  mgomo utaendelea mpaka Serikali itakapo ridhia kuwalipa madai yao hasa ikizingatiwa kuwa  wao wanafanyakazi katika mazingira magumu.

Waandishi wa habari walifanikiwa kutembelea baadhi ya shule  za Msingi na sekondari ambazo zilikuwa hazina walimu kabisa na kwamba wanafunzi wa shule hizo  wakiwa wamezagaa mitaani huku wakiinung`unikia Serikali kwa kuto watendea haki walimu wao ambao alikuwa wakiwaandaa wanafunzi katika Mitihani  ya kumaliza Elimu ya Msingi na sekondari.

Shule zilizotembelewa na waandishi wa habari ambazo hazikuwa na walimu kabisa  ni Shule  za Msingi za Matarawe, Mwembechai, Sabasaba, Mkombozi, Kawawa, Mfaranyaki, Majengo, Songea, Kambarage, Msamala na Majimaji na shule za sekondari za matarawe, Mfaranyaki, Shule ya wavulana Songea na Shule ya wasichana  songea.

Kwa upande wake mmoja  wa wanafunzi  wa shule ya msingi Majimaji Tamimu Ajali anayesoma darasa la tano ameiomba Serikali kuharakisha kutekeleza madai ya walimu  wanayodai kwani bila kufanya hivyo kunauwezekano mkubwa  wa kushuka kwa kiwango cha Elimu hasa  ikizingatiwa kuwa  wanafunzi wapo kwenye maandalizi ya kufanya mitihani.

Tamimu alisema kuwa  ni vyema serikali ikatambua umuhimu  wa mwalimu kwa kumuuongezea mshahara  sawa na taaluma  zingine muhimu kwa mfano. Wanajeshi, Madaktari,Wauguzi na wahudumu wa afya.

Afisa Elimu wa halmashauri ya Manispaa ya Songea  Fulgensi Mponji amethibitisha kuwepo kwa mgomo huo wa walimu  amabapo alisema Manispaa hiyo ina shule  72, Sekondari za Serikari 23, Shule za seskondari za binafsi 13 ambazo  idadi kubwa ya walimu hawakuwepo kwenye maeneo yao ya kazi.

Alisema kuwa tayari ameshawaagiza walimu wakuu  wa shule za msingi na waratibu Elimu  kata wote kukutananao katika shule ya msingi Mfaranyaki  kwa lengo kuwakutanisha walimu ili kuzungumzia namna ya kutatua tatizo hilo.

Naye  Katibu wa chama cha walimu mkoa wa Ruvuma  Luya Ng`onyani alisema kuwa mgomo  huo ni halali na umezingatia sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha  80 (1) ambapo hatua ya kwanza CWT kwa niaba  ya wanachama tayari imetekeleza  kutangaza mgogoro wa siku 30 kwa kujaza fomu  CMA No: 1.



Result & Performance Advisor- KPMG



Agribusiness Advisor -KPMG



Renewable Energy and Climate Change Advisor -KPMG




Policy Programme Officer-WWF Tanzania


Nurse -International School of Tanganyika

Environmental Officer -Resolute (T) Limited




Bank Tellers-Akiba Commercial Bank Limited


Medical Superintendent, Marc Warehouse Supervisor, Instrumentation Specialist-3 Posts, Human Resources Officer Time Attendence-2 Posts & Process Plant Trainer -African Barrick Gold