Showing posts with label Picha. Show all posts
Showing posts with label Picha. Show all posts

Wednesday, March 16, 2016

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA), LEO ASUBUHI KUJIONEA SHUGHULI MBALIMBALI ZINAZOFANYWA NA MAMLAKA HIYO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akitoa ufafanuzi wa gati zilizo katika bandari hiyo kuhusu kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akitoa ufafanuzi kuhusu namna Kamera zinazoendelea kufungwa katika Bandari hiyo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, waliotembelea Mamlaka hiyo leo Asubuhi.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akiwaonyesha Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu eneo itakapojengwa gati ya 13 na 14.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Kupakia na Kupakua Mizigo Bandarini (TICTS), Paul Wallace akiwaeleza Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu namna kampuni hiyo inavyohudumia makontena katika bandari ya Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Sehemu ya Uchukuzi, Dkt. Leornard Chamuriho akitoa taarifa ya namna Wizara inavyosimamia Mamlaka zilizo chini yake,wakati Kamati ya Bunge ya MIundombinu, ilipotembelea Mamlaka ya Bandari(TPA).
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Aloyce Matei, akifafanua jambo kwa Kamati ya Bunge ya Miundombinu. 

Saturday, November 29, 2014

Women Ambassadors in Washington DC honor H.E. Dr. Tebelelo M. Seretse, outgoing Ambassador of Botswana



Women Ambassadors in Washington DC honor H.E. Dr. Tebelelo M. Seretse, outgoing Ambassador of Botswana
The Ambassador of Tanzania to the United States H.E. Liberata Mulamula together with H.E. Dr. Faida Mitifu, Ambassador of the Democratic Republic of Congo and the Women Ambassadors in Washington, DC co-hosted a dinner at Vidalia restaurant in honor of H.E. Dr. Tebelelo M. Seretse, Ambassador of Botswana who has completed her tour of duty in Washington. Ambassador Seretse was well known for her distinguished service and was admired by all the women Ambassadors.
Members of the Women Ambassadors in Washington, DC co-host a dinner at Vidalia restaurant in honor of H.E. Dr. Tebelelo M. Seretse, 
Members of the Women Ambassadors in Washington, DC discussing matters arising during a dinner the co-hosted  in honor of H.E. Dr. Tebelelo M. Seretse, 
H.E. Amb. Mulamula handing H.E. Dr. Amb. Tebalelo Seretse a gift from the Women Ambassadors of Washington DC.
H.E. Amb. Mulamula and H.E. Dr. Amb. Tebalelo Seretse hug after the former has handed a gift from the Women Ambassadors of Washington DC.
Members of the Women Ambassadors in Washington, DC in a group photo during the dinner at Vidalia restaurant in honor of H.E. Dr. Tebelelo M. Seretse, 


Nyalandu launches hot springs boardwalk-way and hippo pool viewpoint in Lake Manyara national park



Nyalandu launches hot springs boardwalk-way and hippo pool viewpoint in Lake Manyara national park
Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu has commended a remarkable initiative by Tanzania National Parks in introducing new tourism products at Lake Manyara National Park. Nyalandu said this during the official launching of the hot springs boardwalk way and hippo pool viewpoint projects at the park yesterday. 
Hon. Nyalandu said that the two projects will add value to the tourism sector by increasing the number of tourist arrivals in the country and urged other stakeholders to be innovative in introducing products that will attract more tourists. 
 The Manyara boardwalk way and hippo pool viewpoint projects worth about 200 millions were initiated to counter the decreased trend of tourist numbers in the park following the flashfloods hit the park in March 2013 which damaged most of tourist infrastructures. 
The first ever tourism product in the national parks, the boardwalk way is featured with 1.5 meters wide impressive wooden structure, creating a 300 meters long trail standing 1.5 meters above ground winding up in an observation platform that is 15 meters long and 2.5 meters wide. 
The trail meanders through the hot springs and lakeshore around a marsh and finally into the lake. 
The boardwalk will give visitors a unique view and wonderful photo opportunities at every turn of the boardwalk trail. 
The Hot springs boardwalk way is designed to simply give people a nice place to walk along the numerous hot springs and be close to the attractions and enjoy the wide view of the lake. 
 Visitors will use the facilities boardwalk way for free and have opportunity of walking around 600 meters on a return trip to the lakeshore and over the hot springs. Educational signage with entertaining themes will be erected in key locations to allow visitors' easy reading and understanding of the nature and the resources found in the area. 
 These signs will educate visitors about the ecology and adaptation of plants and animals to the area. Moreover, it will explain the fragility of the ecosystem and why it is so important to use the boardwalks to avoid, as much as possible, disturbing the environment. 
Moreover, the viewpoint is a freestanding wooden platform rising by 8 feet above the ground measuring 56 feet in length and 5 feet in width. It is about 8 km away from main gate. 
Standing at the top of the viewing platform enables the viewer a spectacular view of the marshland and its inhabitants – waterfowl, hippo, buffalo and wildebeest – from a point of vantage while affording the visitor a high sense of security. 
 Issued by Corporate Communications Department 
TANZANIA NATIONAL PARKS P.O.BOX 3134 ARUSHA
The newly launched Hippo view point in Lake Manyara National Park
The newly launched Hot springs boardwalk way in Lake Manyara National Park
Some of the TANAPA staff in a group picture with the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu (seated third left).
Chairman of the Tanzania Association of Tour Operators Mr. Wilbard Chambulo was also there to emphasis the importance of National Parks.
Chief Park Warden for Lake Manyara National Park Mr. Domician Njau explaining about the newly launched projects during the official launching of the hot springs boardwalk way and hippo view point at Lake Manyara National Park yesterday.
Chief Park Warden for Lake Manyara National Park Mr. Domician Njau (right) explain a point to Hon. Lazaro Nyalandu, Minister for Natural Resources and Tourism as they walk through the Lake Manyara Hot springs boardwalk way yesterday.
Director General of TANAPA Allan Kijazi giving out welcoming remarks during the official launching of the hot springs boardwalk way and hippo view point at Lake Manyara National Park yesterday.
Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu (2nd right) cuts a ribbon to officially launch the Lake Manyara hot springs boardwalk way and hippo pool view point in Lake Manyara. Others in the picture from left are Manyara Regional Commissioner Hon. Elaston Mbwilo; Director General of TANAPA Allan Kijazi and the Chairman of the Parliamentary Committee on Lands, Natural Resources and Environment Hon. James Lembeli.
Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu unveils the foundation stone of the Lake Manyara hot springs boardwalk way yesterday.


KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI




KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI
 Wananachi wakimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Wilaya ya Mtwara Vijijini, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. 


 Kinana akizungumza wakati wa mapokezi katika Kijiji cha Kibaoni, Mtwara Vijijini leo.
 Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara Vijijini
 Mzee Ismail Lumbeya (95), akisikiliza kwa makini wakati Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Nanguruwe
Mnara wa Kumbukumbu ya Mwanajeshi wa Tanzania , Hamad Mzee aliyeuawa na ndege ya kivita ya wareno baada ya kuzitungua ndege mbili za kivita mwaka  1972 katika Kijiji cha Kitaya mpakani mwa Msumbiji na Tanzania wakati wa mapambano ya kuikomboa Msumbiji
 Kinana akitoa heshima katika mnara wa kumbukumbu shujaa Hamad Mzee katika Kijiji cha Kitaya, Mtwara Vijijini
 Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa hadhara katika Kata ya Kitaya
 Ngoma ya asili ikitumbuiza wakati wa mkutano huo
 Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo


Kinana akihutubia katika mkutano huo
 Kinana akipanda katika moja ya pikipiki 10 zilizotolewa na Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia kwa makatibu Kata wa CCM Wilaya ya Mtwara Vijijini katika mkutano wa hadhara wa katika Kata ya Kitaya.
Kinana akimkabidhi kadi ya CCM mmoja wa wanachama wapya wa chama hicho katika mkutano huo
 Watoto wakiwa na vipeperushi vya picha ya Kinana wakati wa mapokezi yake katika Kijiji cha Kibaoni
 Kinana akikunjua bendera wakati wa uzinduzi wa Tawi la CCM la Vijana akatika Kijiji cha Nanyamba
 Kinana akitoka kukagua mradi wa maji katika Kata ya Nanyamba Mtwara Vijijini
 Vijana wakicheza ngoma ya madudu katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Nanyamba

 Kinana akikagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nanguruwe kinachotarajiwa kuwa hospitali ya wilaya Mtwara Vijijini
Kinana akishiriki katika ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nanguruwe.
PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG



Dkt. Ali Mohamed Shein awaapisha watendaji mbalimbali Ikulu


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt. Juma Yakout Juma kuwa Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bibi Khadija Bakari Juma kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt. Juma Yakout Juma kuwa Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bi Madina  Mjaka Mwinyi kuwa Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha  Bw.Hassan Khatib Hassan kuwa  Mkuu wa Wilaya ya Wete Pemba  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha  Bw.Haji Makungu Mgongo  kuwa  Mkuu  wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar kabla alikuwa Mkuu wa Wilaya Kusini Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha  Bw.Khamis Jabir Makame  kuwa  Mkuu  wa Wilaya ya Kusini Unguja  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar  kabla alikuwa Mkuu wa Wilaya Kaskazini B Unguja
 Mawaziri waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Wakuu wa Wilaya mbali mbali za Unguja na Pemba pamoja na Manaibu Katibu Wakuu Wizara mbali mbali za Serikali wakifuatilia kwa makini walipokuwa wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
 Mwanasheria Mkuu wa Serkali ya Mapinduzi ya Zanzibar Said Hassan Said(kulia) akiwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali ni miongoni mwa Viongozi waliohudhuria  katika Viapo mbali mbali vya Wakuu wa Wilaya za Zanzibar na Katibu Mkuu na Manaibu Katibu wakuu wa Serikali waliapishwa  na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
 Mawaziri waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Wakuu wa Wilaya mbali mbali za Unguja na Pemba pamoja na Manaibu Katibu Wakuu Wizara mbali mbali za Serikali wakifuatilia kwa makini walipokuwa wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar


 Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (katikati)akiwa na Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Meja Mstaafu Juma Kassim Tindwa wakifuatilia kwa makini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiwwapisha Manaibu Katibu Wakuu Wizara mbali mbali za Serikali na Wakuu wa Wilaya mbali mbali za Unguja na Pemba  katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. Picha na Ikulu, Zanzibar