Tuesday, September 11, 2012

GUMZO LA JIJI; MAKAMUZI YA SKYLIGHT BENDI NDANI YA THAI VILAGE, DAR



 
Gumzo la Jiji; Vijana wa Skylight bendi wakirudisha katika kiota chao cha Thai Village mwishoni  wikendi iliyopita. Bendi hiyo kwa sasa inatoa burudani kila Ijumaa Thai Village jijini Dar.

 
Vijana wa kazi wakitoa burudani ya kufa mtu...

 
Sebene likiwa limenoga.

 
Ile inayounguruma...'nyama ya Lofombo'
 
Wanadada wa Skylight bendi Mary na Anneth.

 
We'''''Wa!!!!
 
Wadau wakishow love... wapi EduzZZ!!!

 
Kila mmoja alikuwa na furaha.

 
Haki Ngowi akiwa na rafiki yake nao waliwakilisha.

 
Mkurugenzi wa Ndege Insurance na Skylight Entertainment Bw. Sebastian Ndege (kulia) akiwa pamoja na marafiki zake.

 
Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja.

 
Marafiki wakiselebuka...

 
Moja ... Moja..
 
Naanguka mieeeee!!!aaaah Kumbe utani....
 
Wadau kutoka Clouds Fm nao waliweza kuja kuiunga mkono.

 
Warembo wakiweka kumbu kumbu.

 
Aha! wadau wote.

 
Mwimbaji wa bendi ya Skylidht Sam Machozi akijiachia na mrembo.

 
Ingizo jipya ndani ya Skylight bendi akitoa burudani.

 
Yeeeeeh!!!!
 
Marafiki wakiwa katika nyuso za furaha.