Saturday, November 22, 2014

Kanisa la HHC Catherdral la jijini Mwanza lawakaribisha kwenye Kongamano Baraka



Kanisa la HHC Catherdral la jijini Mwanza lawakaribisha kwenye Kongamano Baraka
Kanisa  la  HHC Catherdral  lilopo  Ilemela  Mwanza  linakukaribisha  kwenye  kongamano  baraka  la  kujengwa  kiuchumi  tarehe  3-12-2014  na  4-12-2024  .Wahubiri ni  Bishop  Joseph  Njoroge  toka  Nairobi  Kenya  na  Bishop  Eugene  Murisa  wa  HHC  Mwanza.
Mahali:  Gold Crest  Hotel kuanzia
Saa  9.00  Alasiri hadi  12.30  jioni.
Hakuna  Kiingilio wote mnakaribishwa.