Thursday, January 01, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA,JIJINI DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi alipowasili Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana usiku Disemba 31, 2014/2015 kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la mkesha wa Mwaka Mpya na Dua maalum ya kuliombea Taifa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Taifa kwenye Tamasha la Mkesha wa mwaka mpya wa 2015 iliyofanyika Disemba 31, 2014/2015 usiku wa kuamkia mwaka mpya Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongoza Viongozi na Wananchi kupeperusha bendera ya Taifa wakati ulipoingia mwaka mpya wa 2015 kwenye Tamasha la mkesha na Dua maalum ya kuombea Taifa lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana usiku Disemba 31, 2014/2015.
Wananchi mbalimbali wa mkoa wa Dar es salaam wakishangilia kwa furaha wakati Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, alipokua akihutubia Taifa kwenye Tamasha la Mkesha wa mwaka mpya wa 2015 iliyofanyika Disemba 31, 2014/2015 usiku wa kuamkia mwaka mpya Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwatakia heri ya mwaka mpya wa 2015 Viongozi na Wananchi baada ya kumalizika kwa Tamasha na Dua maalum ya kuliombea Taifa lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Disemba 31, 214/2015. (Picha na OMR)