Sunday, September 28, 2014

PFP KUWATAJIRISHA WANANCHI WENYE KIPATO CHA CHINI WILAYA 6 NCHINI KUPITIA PROGRAMU YA PANDA MITI KIBIASHARA



PFP KUWATAJIRISHA WANANCHI WENYE KIPATO CHA CHINI WILAYA 6 NCHINI KUPITIA PROGRAMU YA PANDA MITI KIBIASHARA
Mkurugenzi  mtendaji wa PFP Dr Maria Tham akizungumza na  wanahabari ofisini kwake 
Vitalu  vya miti  vilivyopandwa na  wananchi  Njombe 
Miche  ya  miti  ambayo mbegu yake  imetoka Zimbabwe  iliyotolewa na PFP kwa  shirika la TANWAT Njombe 

Meneja Mawasiliano wa Mradi, George Matiko  wa  PFP  akiwa katika bustani ya  miche  ya miti 
Mwanakikundi   cha wakulima  wa maparachichi Njombe akitunza  bustani yake 
Mratibu wa  wakulima wadogo wa  miti Bw  Erasto  akizungumza na  wanahabari 
Miche ya  kisasa ya matunda 


Watenda kazi wa PFP  wakimsikiliza mkurugenzi  wao 
Mkurugenzi wa PFP  akiendelea kutoa ufafanuzi wa mradi 
Afisa  habari wa PFP Bi Lilian akichukua taarifa  juu ni  wafanyakazi wenzake 
Wanakikundi   cha miti  Kifanya  wakiwajibika kujitafutia  utajiri  kwa kupanda miti 
Wanakikundi cha upandaji miti kibiashara Kifanya  wakiwa katika kitalu  chao
Moja ya kitalu cha kuotesha miche ya miti kilichopo katika kijiji cha Kifanya wilayani Njombe; kitalu hicho ni cha wakulima wanaounda umoja wa wapanda miti Kifanya
Meneja Mawasiliano wa Mradi, George Matiko akifafanua jambo kwa wanahabari; aliyeketi ni Mkurugenzi wa Programu hiyo, Dk Maria Tham
Dk Maria Tham katika mahojiano na wanahabari ndani ya ofisi zao zilizopo mjini Njombe
Mwenyekiti wa kikundi cha wapanda miti wa kijiji cha Kifanya akitoa ufafanuzi wa shughuli zinazofanywa na kikundi chao