Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam Ramadhan Madabida akizungumza na viongozi wa chama hicho Wilaya ya Ilala kabla ya kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi wa Wilaya ya Ilala
.Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam Ramadhan Madabida akivishwa skafu kabla ya kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam Ramadhan Madabida akiingia Ukumbini kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
Baadhi ya viongozi wa CCM wilaya ya Ilala wakiwa na mgeni rasmi Alhaji Ramadhan Madabida.
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala ambao ni wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi ya chama hicho Wilaya ya Ilala wakifuatilia baadhi ya hotuba zilizokuwa zikiwasilishwa katika mkutano huo