Tuesday, December 30, 2014

Sherehe za kubarikiwa kwa Mchungaji Dickson Kiwori zafana huko Masama, Moshi


Sherehe za kubarikiwa kwa Mchungaji Dickson Kiwori zafana huko Masama, Moshi
 Mchungaji Dickson Kiwori akifurahia na mkewe baada ya kubarikiwa rasmi  kuwa mchungaji katika Ibada iliyofanyika Jumamosi katika Kanisa LA KKKT usharika wa Sonu Masama katika Ibadan iliyoongozwa na Askofu Dkt.Martin Shao
 Mke Wa Mchungaji mpya Dickson Kiwori Hilder Akimlisha mumewe kipande cha ndafu wakati Wa Sherehe  ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
Mchungaji mpya Dickson Kiwori  akipongezwa wakati Wa Sherehe  ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
 Ndafu wa sherehe
Mchungaji mpya Dickson Kiwori  akishukuru wakati Wa Sherehe  ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro