Mchungaji Dickson Kiwori akifurahia na mkewe baada ya kubarikiwa rasmi kuwa mchungaji katika Ibada iliyofanyika Jumamosi katika Kanisa LA KKKT usharika wa Sonu Masama katika Ibadan iliyoongozwa na Askofu Dkt.Martin Shao
Mke Wa Mchungaji mpya Dickson Kiwori Hilder Akimlisha mumewe kipande cha ndafu wakati Wa Sherehe ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
Mchungaji mpya Dickson Kiwori akipongezwa wakati Wa Sherehe ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
Ndafu wa sherehe
Mchungaji mpya Dickson Kiwori akishukuru wakati Wa Sherehe ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro