Friday, April 22, 2016

KATIBU WA CHADEMA MKOA WA DAR ES SALAAM AZUNGUMZA MIKAKATI MBALIMBALI YA CHAMA CHAO.



KATIBU WA CHADEMA MKOA WA DAR ES SALAAM AZUNGUMZA MIKAKATI MBALIMBALI YA CHAMA CHAO.
 Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar  es salaam, Henry Kileo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo  juu ya mikakati mbalimbali ya chama hicho kulia ni Makamu  Mwenyekiti wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es salaam, Benard Mwakyembe.
Makamu  Mwenyekiti wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es salaam, Benard Mwakyembe  akizungumza na waandishi wa habari juu wananchi wanavyokosa habari wakati bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kuto kuonyesha matangazo ya chama chao
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii)