Friday, April 10, 2015

Mgomo Wa Madereva: Serikali Yakubali Kufuta Agizo la Kuwataka Madereva Kwenda kusoma ili Kumaliza Mgomo..Strike Of Drivers: Government accepted Cancellation Order Requiring Drivers Go read to End Strike



Mgomo Wa Madereva: Serikali Yakubali Kufuta Agizo la Kuwataka Madereva Kwenda kusoma ili Kumaliza Mgomo..Strike Of Drivers: Government accepted Cancellation Order Requiring Drivers Go read to End Strike

Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)


Kuhusu suala la Madereva kusoma, Serikali na Madereva wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18 kuzungumza njia mbadala ya kutumika.


Miongoni mwa malalamiko ya madereva ilikuwa ni kukerwa na tochi za barabarani, hivyo jeshi la Polisi wamekubali kuziondoa.


Pia serikali imeagiza Madereva wote wapewe mikataba ya ajira za uhakika na waajiri wao na Trafiki wameagizwa kulifatilia hilo.


------------------------------
Minister of Labour and Employment, Hon. Gaudencia Kabaka has successfully completed the strike of drivers after announcing cancellation command was ordering drivers of buses and trucks to read again in the National Institute of Transportation (NIT) 

Regarding the drivers to read, Government and drivers have agreed to meet this month on 18 speak alternatives used. 


Among the complaints of drivers was offended by the torch of the road, so Police have agreed to remove them. 


Also the government has ordered all drivers receive guaranteed employment contracts with their employers and Traffic kulifatilia commanded it.