Friday, December 26, 2014

PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE


PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na vijana kutoka kata za Kibaoni na Usevya wilayani Mlele mkoani  Katavi waliomtembelea nyumbani kwake Kibaoni  leo akiwa kwenye mapumziko na Krismas na Mwaka mpya. 
Katikati  mwenye miwani ni Mzee Chrisant Mzindakaya
Picha na PMO