Wednesday, December 31, 2014

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZOEZI KITAIFA KUFANYIKA ZANZIBAR



MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZOEZI KITAIFA KUFANYIKA ZANZIBAR
Katibu Mtendaji wa Chama cha Mchezo wa Mazoezi ZABESA Amer Mohd Makame akielezea madhumuni ya kufanyika kwa Tamasha la kwanza la siku ya mazoezi 01/01/2015 katika ukumbi wa Wizara ya habari Utamaduni Utalii na Michezo alipokutana na Waandishi wa Habari Zanzibar.
Mwenyekiti wa Chama cha Mchezo wa Mazoezi ZABESA Mohd Zidi akifafanua jambo katika mkutano na Waandishi wa Habari kuhusiana na Maadhimisho ya siku ya Mazoezi Kitaifa 01/01/2015 yatakayo fanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar,ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein,na Ujumbe wa Mwaka huu ni Fanya Mazoezi Imarisha Afya yako Epuka Maradhi yasioambukiza. PICHA NA YUSSUF SIMAI-HABARI MAELEZO ZANZIBAR.