Monday, December 29, 2014

HEPI BESDEI MH. PROF. MARK MWANDOSYA


HEPI BESDEI MH. PROF. MARK MWANDOSYA
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akiwa kwenye picha ya pamoja na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akikata keki sambamba na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya na Mkewe Mama Lucy Mwandosya (wa pili kushoto nyuma) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wajukuu zao wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwa Mh. Mwandosya,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.