Naibu Waziri wa                Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Pindi H. Chana                (Mb.)(katikati) akifuatilia igizo kuhusu kuanzishwa kwa                UMATI, mafanikio na changamoto za hutoaji huduma. Kushoto                ni Mkurugenzi Mtendaji wa UMATI Bi. Lulu Ng'wanakilala,                Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto Bw. Benidect                Misani, Mwenyekiti wa UMATI Bibi Rose Wasira na kulia ni                Makamu wa Mwenyekiti wa UMATI Bw. Charles Mngodo. 
                Naibu Waziri wa                Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Pindi H. Chana                akiteta jambo na mmoja wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya                UMATI Taifa ambaye alipata fursa ya kupima afya yake kama                sehemu ya huduma zilizotolewa na UMATI sanjari na mkutano                katika ukumbi wa Regency Park Hotel jijini Dar es salaam                tarehe 30/10/2014. 
        .png)
.png)