Shirika la ndege la RwandAir kuongeza ndege kubwa mbili aina ya Airbus A330 mwezi wa Tisa mwaka huu na kuanzisha safari zake mpya za Mumbai, Indina na Guanghzou - China. Shirika hilo linaendelea kupasua anga kwa kuongeza safari mpya, kusafiri kwa raha kwenye ndege zao mpya, pia kwa bei nafuu.