Tuesday, May 31, 2016

RwandAir kuleta ndege zingine mbili aina ya Airbus A330



RwandAir kuleta ndege zingine mbili aina ya Airbus A330
Shirika la ndege la RwandAir kuongeza ndege kubwa mbili aina ya Airbus A330 mwezi wa Tisa mwaka huu na kuanzisha safari zake mpya za Mumbai, Indina na Guanghzou - China. Shirika hilo linaendelea kupasua anga kwa kuongeza safari mpya, kusafiri kwa raha kwenye ndege zao mpya, pia kwa bei nafuu.