Sunday, December 28, 2014

MAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI



MAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.
Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele,mkoani Katavi wakimsikiliza Mgeni rasmi Mama Tunu Pinda wakati alipofungua mkutano wao katika Shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimia na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akijumuika na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wanawake la Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo, Desemba 28, 2014. (PichanaOfisiyaWaziriMkuu)