Sunday, September 14, 2014

PICHA KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS -IKULU:MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AWAAGA MAHUJAJI JIJINI DAR ES SALAAM


PICHA KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS -IKULU:MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AWAAGA MAHUJAJI JIJINI DAR ES SALAAM
Makamu wa Rais Dkt Mohammed Gharib Bilal akisalimiana na Viongozi wa Taasisi ya Shirikisho ya  kamati za Hijja alipowasili Viwanja vya Karimjee Dar es salaam jana
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia baadhi ya Mahujaji wanaotarajia  kwenda kutekeleza Ibara ya Hijja huko Makka, wakati alipokutana nao jana katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam.
 Baadhi ya Mahujjaji wanaotarajiwa kwenda kutekeleza ibada ya Hijja huko Makka, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal alipokua akiwahutubia katika viwanja vya Karimjee Dar es salaam  jana .
Baadhi ya Mahujjaji wanaotarajiwa kwenda kutekeleza ibada ya Hijja huko Makka, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal alipokua akiwahutubia katika viwanja vya Karimjee Dar es salaam Jana.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais