Sunday, August 10, 2014

ZESCO YAICHAPA SIMBA 3-0



ZESCO YAICHAPA SIMBA 3-0
 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Simba pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi. (Picha na Francis Dande)
 Kikosi cha Simba kikiwa na Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic (kulia), pamoja na Rais wa Simba, Evans Aveva.
Kikosi cha Zesco.
 Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.
Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa wa Simba Day uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Zesco ilishinda 3-0.
Golikipa wa Zesco, Lameck Nyangu akiokoa moja ya hatri zilizoelekezwa langoni mwake.
Amis Tambwe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Zesco, Bernad Mapili.