Friday, August 08, 2014

WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF



WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF
p2Bw Aloyce Ntukamazina Meneja Masoko kutoka katika Mfuko wa GEPF akifafanua jambo kuhusu  mafao yatolewayo na Mfuko wa GEPF katika maonesho ya wakulima ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Themi Njiro, Arusha.p1Mwanachama mpya akipata maelekezo ya namna ya kujiunga na Mfuko wa GEPF kutoka kwa Afisa wa GEPF Bi Jane Rutashobya katika maonesho ya wakulima ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Themi Njiro, Arushap4Afisa Masoko Clement Oningo akitoa maelezo kuhusu shughuli za Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF kwa wakazi wa jiji  la Arusha waliofika katika banda la GEPF.DSC_4775
DSC_4826Muonekano wa banda la GEPF katika viwanja vya nane nane jijini Arusha.Meneja Masoko Aloyce Ntukamazina ,   Alitoa wito kwa wakazi wa Arusha kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya nane nane ili kupata elimu na faida za kujiunga na mfuko huo. "Nawasihi wananchi wajitokeze kwa wingi katika maonyesho haya na kuja kutembelea katika banda letu na kuweza kupata elimu na faida za kujiunga na mfuko huu"alisema Ntukamazina.