Thursday, July 03, 2014

UFUNGUZI WA WARSHA YA MAFUNZO YA MAFUNDI MAJOKOFU NA VIYOYOZI JIJINI ARUSHA LEO



UFUNGUZI WA WARSHA YA MAFUNZO YA MAFUNDI MAJOKOFU NA VIYOYOZI JIJINI ARUSHA LEO
Pichani kulia ni Mkurugenzi msaidizi Idara ya Mazingira kutoka ofisi ya makamu wa Rais Bi Magdalena Mtenga, akifafanua jambo katika ufunguzi wa warsha ya mafunzo ya mafundi majokofu na viyoyozi kuhusu teknolojia mbadala za upozaji na rafiki kwa tabaka la ozoni mjini Arusha leo.
 Sehemu ya washiriki katika warsha ya Mafunzo ya mafundi majokofu na viyoyozi mjini Arusha kuhusu Teknolojia Mbadala za upozaaji  na rafiki kwa tabaka la ozoni.
 Aliyesimama, Mkurugenzi wa idara ya Mazingira Ofisi ya makamu wa Rais dkt. Julius Ningu akizungumza  machache kwa wanawarsha na wataalam katika warsha ya mafunzo kuhusu teknolojia mbadala za upoozaji na rafiki kwatabaka la ozoni mjini Arusha leo.. Aliyekaa ni Mkuu wa Chuo cha VETA Moshi. Bw.Daniel Komba(Picha zote na Evelyn Mkokoi)