Thursday, July 03, 2014

MWENYEKITI HALMASHAURI YA USHETU NA DEREVA WAKE WACHARANGWA MAPANGA NA KURUSHIWA RISASI WAKIWA SAFARINI


MWENYEKITI HALMASHAURI YA USHETU NA DEREVA WAKE WACHARANGWA MAPANGA NA KURUSHIWA RISASI WAKIWA SAFARINI

Dereva wa gari la Halmashauri ya Ushetu Joseph Dutu  akiwa  Hosptali ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. baada ya kujeruhiwa vibaya  na majambazi katika eneo la Mwamala Igusule Wilayani Nzega na kufanikiwa kuwapora kiasi cha shilingi shilingi 500,000 kwa Mwenyekiti pmaoja shilingi 80,000 kwa Dereva wake wakitokea safarini mkoani Tanga
 Dereva akiwa Hospitali ya wilaya ya Kahama
 Kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu Juma akiwa Hospitali ya Wilaya ya Kahama baada ya kujeruhiwa vibaya kwa Risasi na Mapanga na majambazi akitokea safarini mkoani Tanga
 Diwani wa Kata ya Nyankende akimjulia hali Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu Juma Kimisha katika Hospitali ya Wilaya ya kahama
 Gari aliyokuwa akisafiria Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu SM 10032 likiwa imevunjwa vioo kwa Risasi
Mwenyekiti wa CHADEMA  wilaya ya Kahama Juma Protas ( wa pili kulia) akimjulia hali Mwenyekiti huyo mwenye Bandeji mkononi- picha zote kwa hisani ya mihayorj blog