Thursday, May 22, 2014

DC HAI AKAGUA BARABARA YA MACHAME NA BAADAYE MASAMA

 
 
 
 
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akipata ufafanuzi wa Ujenzi wa Barabara ya Machame kutoka kwa Kaimu Meneja wa Tanroads mkoani Kilimanjaro,Mhandisi Reginald Massawe(Kushoto).
Mwenyekiti wa kijiji cha Nshara akimwonyesha mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga pamoja na Maofisa wa Tanroads mkoani Kilimanjaro moja ya eneo hatari kwa watumia barabara ya Machame katika kona ya Lambo.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga na maofisa wa Tanroads wakishuhudia mifugo ikisagwa katika barabara ya Machame.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akitoa maelekezo ya barabara ya Machame,kulia ni mmoja ya wataalamu wa ujenzi katika wilaya ya Hai,Mhandisi Peace.
Mkuu wa wilaya ya Hai akiangalia moja ya eneo la barabara ya Machame ambalo lina kasoro katika ukarabati wake huku maofisa wa Tanroads mkoa wa Kilimanjaro wakitoa maelezo.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akipata maelezo kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Mhandishi mshauri wa barabara ya Kwasadala hadi Masama,Crown Tech Consult Limited.