Saturday, February 23, 2013

GLORIOUS WORSHIP TEAM KUADHIMISHA MIAKA 2 J'PILI HII ATRIUMS HOTEL



Mmoja wa kiongozi wa kundi la 'Glorious Worship Team akiongea jambo na Wandishi wa habari hawapo pichani

Kundi la 'Glorious Worship Team, wakiimba nyimbo
WASANII wa kundi la nyimbo za injili nchini 'Glorious Worship Team' keshokutwa Jumapili, Februari 24 mwaka huu wataadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili ya kueneza injili ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya The Atrium, iliyopo Sinza Afrika Sana. Kiingilio katika hafla hiyo ni shilingi 5,000/= na wote mnakaribishwa.