Sunday, April 24, 2016

KUTOKA MAKTABA: HAYATI MWALIMU ALIKUWA MPENZI WA SOKA, LAKINI.....



KUTOKA MAKTABA: HAYATI MWALIMU ALIKUWA MPENZI WA SOKA, LAKINI.....
 Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akikagua timu wanja wa Taifa miaka ya 1970. Alikuwa mpenzi sana wa mchezo huu hadi pale FAT walipomfedhehesha mbele ya mgeni wake Rais Nimeiry wa Sudan kwa kuleta timu ya Taifa Uwanjani wachezaji wakiwa tumbo wazi mwaka 1972. Toka siku hii hakukanyaga tena uwanja wa soka.
Siku ya Aibu kwa Taifa: Rais Jaafar Muhammad al-Nimeiry  wa Sudan akisalimiana na  Omary Zimbwe. Wengine kutoka kushoto ni Mohamed Chuma, nahodha Mohamed Abdurlahmani,  Kitwana Manara m na Abdallah Kibadeni