Tuesday, April 19, 2016

BREAKING: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi wa BOT, Amatus Liyumba afariki dunia




BREAKING: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi wa BOT, Amatus Liyumba afariki dunia
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba amefariki dunia leo katika Hospitali ya Agha Khan alikokuwa akipatiwa matibabu, msiba uko nyumbani kwake maeneo ya Triple Seven, Mikocheni jijini Dar es salaam. Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.