Monday, March 07, 2016

MFANYABIASHARA WA UTALII ARUSHA ATOA MISAADA YA KIJAMII HOSPITALI MKOA WA ARUSHA


MFANYABIASHARA WA UTALII ARUSHA ATOA MISAADA YA KIJAMII HOSPITALI MKOA WA ARUSHA
Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Viola,Violet Mfuko akimkabidhi shuka mganga mkuu mfawidhi wa hospital ya mt.Meru dr.Jackline Urio alipokuwa akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa jana.
Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya Viola,Violet Mfuko akimuombea mgonjwa Frida Shayo alipotembelea hospitali ya mt.Meru alipokuwa akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa jana. 


Mkurugenzi Viola Mfuko anamlisha keki Habibya Fadhili alipotembelea hospital ya Mt.Meru alipokuwa akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa jana.