Saturday, April 04, 2015

wanafunzi 663 chuo cha Garissa warudishwa makwao baada ya kutokea mauaji..wanafunzi wawili washikiliwa na polisi kwa kupost katika facebook kutishia mauaji zaidi chuo kingine



wanafunzi 663 chuo cha Garissa warudishwa makwao baada ya kutokea mauaji..wanafunzi wawili washikiliwa na polisi kwa kupost katika facebook kutishia mauaji zaidi chuo kingine 663 students of Garissa University College given Sh1,000 each 'for lunch' and to be driven in military convoy to Nairobi before departing for their homes countrywide





Two Egerton University students Titus Ngare Nyagah and Alex Wachira arrested for using a fake Facebook account to post an alarmist message. They were picked up late last night and say they did it for fun

Mwanafunzi wa kike aliyejificha ndani ya kabati kwa saa 48 wakati wa shambulizi la chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya hatimaye amejitokeza.Msichana huyo anasema kuwa alitumia mafuta aina ya 'lotion' kama chakula ili aweze kuishi.