Thursday, December 11, 2014

TPDC YACHANGIA UJENZI WA MAABARA KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MTWARA VIJIJINI



TPDC YACHANGIA UJENZI WA MAABARA KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MTWARA VIJIJINI
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Ndg, Wilman Ndile akipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi kutoka kwa Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPDC, Bi. Venosa Ngowi wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika ofisi za Mkuu wa Wilaya. TPDC imechangia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Mtwara vijijini.