Saturday, October 04, 2014

DUUUH.... NOMA!!



DUUUH.... NOMA!!
Dereva wa Daladala akiangalia kama anaweza kulichepusha gari lake kwenda kwenye barabara kuu,mara baada ya kuamriwa na Askari kurudi huko.hii imetokea mapema leo katika eneo la Namanga,jijini Dar.