Friday, August 08, 2014

WENGI WAJITOKEZA KATIKA BANDA LA UTT ASSET MANAGEMENT



WENGI WAJITOKEZA KATIKA BANDA LA UTT ASSET MANAGEMENT
Ofisa Mwendeshaji Mafunzo  UTT Asset Management, Hilder Lyimo (kulia),  akitoa maelezo kwa mwananchi aliyefika katika banda la UTT jinsi mifuko ya Uwekezaji wa pamoja inavyoweza kumpa fursa ya kushiriki katika Masoko ya Fedha na Mitaji ili kukuza pesa zake. 
Ofisa Mwendeshaji wa UTT Asset Management, Ahmed Salmin Mabrouk akielezea faida za kuwekeza katika mifuko ya uwekezaji wa pamoja inayoendeshwa na utt asset managenet  kwa wananchi waliotembelea banda lao katika viwanja vya Nanenane  Lindi.
Hekaheka za wananchi zikiendelea wakati wanajaza fomu za kujiunga na mifuko ya UTT Asset Management huku wakisaidiwa na maofisa wa taasisi hiyo.