Friday, August 22, 2014

washindi watatu wa kwanza wa Miss Temeke kwenda nchini Afrika Kusini



washindi watatu wa kwanza wa Miss Temeke kwenda nchini Afrika Kusini
Washindi watatu wa kwanza wa Miss Temeke wanaopanda jukwaani TCC Club Chang'ombe leo Ijumaa August 22,watazawadiwa trip ya 3 nights kwa naana 4 days kufanya shopping ya Miss Tanzania jijini Johanesburg Afrika kusini wakilipiwa kila kitu.