Thursday, August 07, 2014

Sikiliza Mahojiano na Mtaalamu wa Uchumaji Asumini Bi Kijakazi Hassan




Sikiliza Mahojiano na Mtaalamu wa Uchumaji Asumini Bi Kijakazi Hassan
Blog ya Swahilivilla Siku ya Jumamosi July 19 2014 ilifanikiwa kufanya Mahojiano na mtaalamu wa uchumaji wa mauwa ya asumini Alwatan Kijakazi Hassan Mustafa, a.k.a (Kijakazi) ambae alielezeaa mengi kuhusu umuhimu wa Asumini pamoja na utunzani wake.
Mtaalamu wa uchumaji asumin Alwatan Kijakazi Hassan Mustafa akiwa katika harakati za uchumaji wa mauwa ya yenye harufu nzuri asumin.

Katika Mahojiano haya na mtaalamu wa utunzaji wa Miasumini Kijakazi Hassan Mustafa ambae ni mkaazi wa Mwembetanga Zanzibar atuelezea mambo mbali mbali kuhusu umuhimu wa ujumaji na utuzaji wa mauwa ya Asumin, ya kiwemo kusingwa kwenye sherehe za harusi na hata kutengezea uturi pamoja na vikuba vyenye harufu nzuri ya kunukia.

Asumini ni BUSTANI ya mapenzi yenye mauwa madogo yenye kutoa harufu nzuri, huchumwaa kwa kuwekewa kitandani ili bwana asitoke ndani wakti muwafaka wajioni.

Kwa mawazo zaidi wasiliana nasi kwa njia ya Email: swahilivilla@gmail.com
Ungana nasi taratibu kusikiliza mahojiano haya.