Saturday, August 09, 2014

NHIF yaibuka Mshindi wa kwanza Nane Nane Kitaifa



NHIF yaibuka Mshindi wa kwanza Nane Nane Kitaifa
 Makamu wa Rais Dk. Mohamed Ghalib Bilal akiwa na ngao ya ushindi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ambao uliibuka kuwa mshindi wa kwanza katika sekta ya Mifuko wa Hifadhi ya Jamii, anayejiandaa kuipokea ni Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi, Fortunata Raymond.
 Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi, Fortunata Raymond akionesha ngao ya ushindi baada ya kuipokea.
 Ofisa Matekelezo wa NHIF Mkoa wa Lindi, Paul Marenga akitoa elimu ya umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii kwa wananchi waliofika katika banda la NHIF.
 Ofisa Matekelezo wa CHF, Nicolous Mwangomo akitoa darasa kwa wananchi waliozunguka banda la Usajili wa wanachama wa CHF.