Sunday, August 10, 2014

BALOZI LIBERATA MULAMULA APIGA KURA YAKE DMV




BALOZI LIBERATA MULAMULA APIGA KURA YAKE DMV
 Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwasili kwenye kituo cha kupigia kura katika uchaguzi wa DMV unaoendelea sasa hivi Wheaton, Maryland nchini Marekani hapa mhe. Liberata Mulamula akilakiwa na mgombea makamu wa Urais Bi. Salma Moshi na Bwn. Idd Sandaly, Rais wa Jumuiya ya Wtanzania anyaemariza muda wake na ambaye pia anagombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi huo.
Mhe. Libarata Mulamula akisalimiana na kampeni meneja wa mgombea wa Urais Liberatus Mwang'ombe Bi. Muna
 Mgombea wa Urais Liberatus Mwang'ombe akimsindikia Mhe. Balozi kuahakiki jina lake.
Mhe. Balozi Liberata Mulamula akihakiki jina lake.

Mhe. Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na mmoja wa Wajumbe wa kamati ya uchaguzi Bwn. Sunday Shomari.

Mhe. Balozi akipiga kura yake.

 Mhe. Balozi akitumbukiza kuara yake.
Balozi akiwahutubia wanaDMV Hebu msikilize hapo chini.