Monday, June 30, 2014

Raisa ndie Redds Miss Kanda ya Kaskazini




raisa ndie redds miss kanda ya kaskazini
 hawa ndio washindi wa redd's miss kanda ya kaskazini kwa mwaka 2014


 hawa ni wadhimini wa shindano hilo kutoka minjingu

Lemutuzz nae alikuwemo ndani ya Redd's miss kanda ya kaskazini  bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma pinto


 mkuu wa mkoa wa Arusha pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo katika shindano hilo warembo wanne wamwanzo watakingia katika kambi ya Redd's miss Tanzania
 mh hashimu Lundenga akiwa anatangaza washindi wa tatu bora
 watembo wakiwa wameingia ukumbini wakicheza wimbo wa ufunguzi





 papa mwandago akimwaga maneno akiwa kama muandaaji mkuu wa shindano hili

 hawa ndio warembo walioingia tano bora

 waandaji wa shindano hilo wakiwa wamekaa kwa mapozi wakifuatilia shindano. PICHA zote na libeneke la kaskazini blog