Thursday, February 28, 2013

UTEUZI WA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA TBS




WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
TAARIFA KWA UMMA
UTEUZI WA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA TBS
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Prof.  CUTHBERT F. MHILU, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango Tanzania, TBS kuanzia tarehe 18 Februari, 2013.
Kufuatia uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi, Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.  Dkt.  Abdallah Omary Kigoda (Mb), ameteua Wajumbe kumi na moja wa Bodi hiyo. Wajumbe walioteuliwa na mahali wanapotoka ni kama ifuatavyo.
S/N
JINA
TAASISI  ANAKOTOKA
01.
Bw.  Geofrey Simbeye
Mwakilishi wa TPSF
02.
Bi.  Fatma Riami Diwani
Mwakilishi wa Viwanda Vidogo na Vya kati
03.
Bw.  Michael Kamba
Mwakilishi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
04.
Dkt. Pamela L. Sawa
Mwakilishi wa Wizara ya Afya
05.
Bi.  Magdallena Utouh
Mwakilishi wa Tume ya Ushindani
06.
Bw. Jasson B.B Bagonza
Mwakilishi wa Wizara ya Fedha
07.
Bw. Juma Rajabu
Mwakilishi wa Umoja wa wajumbe wenye uelewa wa masuala ya Viwango
08.
Bw. Rashid A. Salum
Mwakilishi wa Umoja wa wajumbe wenye uelewa wa masuala ya Viwango, Zanzibar
09.
Prof.  Ntegua Mdoe
Mwakilishi Vyuo vya Elimu ya Juu
10.
Dkt.  Fidea L. Mgina
Mwakilishi wa Wizara ya Viwanda na Biashara
11.
Bw. Leandry Kinabo
Kaimu Mkurugenzi Mkuu


Uteuzi wa wajumbe hawa, unaanza mara moja.
Imetolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara
S.L.P 9503
DAR ES SALAAM.