Thursday, November 15, 2012

Muonekano wa Eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya



 Ubao wa Mkandarasi anaejenga soko kuu la Mwanjelwa jijini Mbeya kama unavyoonekana.
 Soko la Mwanjelwa bado halija kamilima mpaka leo.
 Mfanyabiashara wa Vyungu akiwasikiliza wateja wake.
 Mama na Mwana katika biashara eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya.
 Kituo cha Daladala cha Mwanjelwa kinavyooneka sasa.
 Biashara ya Samaki wa kukaanga.
 Wadau wa Mbeya wakipata Mahindi ya Kuchoma.
 Pilika pilika za hapa na pale.
 Kikwangua anga kipya eneo la Mwanjelwa.
 tangazo muruaaa.
 Moja ya Majengo yanayolipendezesha eneo la Mwanjelwa.
 New City Pub kwa misosi ya kila aina.