Wednesday, September 12, 2012

TASWIRA ZAIDI ZA MECHI YA NGAO YA HISANI KATI YA SIMBA NA AZAM JANA



11 wa Simba walioanza leo
11 wa Azam walioanza leo
Bao la kwanza la Azam
Bao la kwanza la Azam
Azam wanashangilia bao la kwanza
Hatari kwenye lango la Simba

Hatari kwa kwenye lango la Simba, Kaseja chini kule
Himid Mao alikaribia kufunga baada ya kumvisha kanzu Kaseja, lakini mpira ukapaa juu kidogo
Kipre Tchetche akiwatoka mabeki wa Simba
Azam wanashambulia
Hatari kwenye lango la Simba
Kipre Tcheche anawatoka mabeki Simba
John Bocco anamtoka Maftah
Bocco anatoa pasi ya bao
Humud anampongeza Bocco kufunga
Bocco anampongeza Kipre kuitumia vema pasi yake
Mashabiki nwa Simba
Akuffo akiwa amembeba Okwi baada ya kufunga bao la kusawazisha
Chollo chini..Aggrey Morris juu
Abdallah Juma akumpongeza Kazimoto kufunga la ushindi, Anyeipa mgongo kamera ni Nyosso 
Kazimoto akiwapungukia mkono mashabiki wa Yanga baada ya kufunga la ushindi. Kulia Nyosso na kushoto Abdallah Juma
Mashabiki wa Simba wakiwa na jezi iliyoandikwa Kagawa Ngassa
Kushoto Kaseja, kulia Ngassa na Akuffo wakicheza kiduku 
Ngassa akishangilia kwa staili ya aina yake
Nyamlani akimpa mkono wa pongezi Akuffo. Anayemfuatia ni Waziri Mahanga, akiwasubiri Ngassa na Komabil Keita
SOURCE BIN ZUBEIRY