![]() |
| Uzio wakanisa la Mt anthony wa padua mbeya umevamiwa na wafanyabiashara ya mitumba na kutundika nguo na mashuka katika uzio huo |
![]() |
| Huu ni upande wa barabara ya kuingia katika hospitali ya rufaa mbeya |
![]() |
| Kama unavyoona wateja wakiendelea kuchagua nguo katika uzio huo wa kanisa |
![]() |
| Wengine wamepumzika kusubiri kuwaona wagonjwa wao waliolazwa katika hospitali ya rufaa |




