Mwanahabari Hassan Mhelela Amefiwa Na Bibi Yake
Upande
wa mama. Mazishi yalifanyika jana jioni kwenye makaburi ya Semtema,
Iringa. Hassan Mhelela ni mwanahabari anayefanyia kazi na BBC, Dar es
Salaam. Hassan ni wa kwanza kulia kwenye mstari wa mbele picha ya juu.