Sunday, October 16, 2011

Tunahitaji msichana kwa ajiri ya kazi ya kuuza bidhaa mbalimbali ktk duka letu.

 
Majukumu ya kazi husika ni kama ifuatavyo:-

1. Kukaribisha na kuhudumia wateja kwa ujumla
2. Kupanga bidhaa kwenye ngazi
3. Kuandika order za wateja
4. Kupokea simu za wateja
5. Kuandaa ripoti fupi ya mauzo ya kila siku nk.

Sifa za muombaji.
1. Awe mwaminifu.
2. Awe mchangamfu.
3. Awe mchapakazi.
4. Awe mwenye nidhamu
5. Awe anaishi Dar es salaam
6. Awe na kiwango cha elimu kuanzia kidato cha nne hadi kidato cha sita
7. Awe na uzoefu wa biashara au awe amepitia mafunzo ya biashara
8. Awe na umri kuanzia miaka 18 mpaka 30.


Maombi yote yatumwe kwa njia ya e-mail hii;
mipango2011@yahoo.com

Au unaweza kunipigia simu kwa maelekezo zaidi. Piga no.0779321400