Thursday, March 17, 2016

AZAM YAIFUNGA STAND UNITED 1-0 CHAMAZI COMPLEX DAR ES SALAAM


AZAM YAIFUNGA STAND UNITED 1-0 CHAMAZI COMPLEX DAR ES SALAAM LEo
Mshambuliaji wa Azam FC, Allan Wanga akiwatoka mabeki wa Stand United  wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi  Complex jijini Dar es Salaam leo, Azam imeshinda 1-0.  (Picha na Francis Dande)
Beki wa Stand United, Assouman N'guessan (kulia) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Allan Wanga.
 Kipa wa Stand United, Frank Muwange  akiokoa moja ya hatari langoni mwake.
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akitafuta mbinu ya kumtoka  beki wa  Stand United, Assouman N'guessan wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

 Mashabiki Stand United wakifutilia pambano  hilo. 

Golikipa wa Azam FC, Aishi Manula akidaka mpira langoni pake.