Zimamoto wameiokoa !
Moto ambao hakuleta madhara makubwa!jengo hilo pia ni kituo cha vijana
na ofisi za tasisi mbali mbali zinazoshughulika na mambo ya utamaduni.chanzo cha moto huo mpaka sasa hakijajulikana, lakini inaonyesha ulianzia katika papipa ya taka yaliyowekwa karibu na mlango.