Thursday, March 17, 2016

KAMBI YA FFU-UGHAIBUNI YANUSURIKA KUTEKETEA NA MOTO



KAMBI YA FFU-UGHAIBUNI YANUSURIKA KUTEKETEA NA MOTO
Zimamoto wameiokoa !
Moto ambao hakuleta madhara makubwa!
Habari ambazo zilikuwa zimefichwa lakini ! tumezinyaka
Kuwa jengo linalotumiwa kufanyia mazoezi na bendi maarufu ya muziki wa dandi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni limeshika moto ghafla na kuokolewa na kikosi cha zimamoto huko ujerumani.

Wadakuzi wa mambo walimtafuta mkuu wa bendi hiyo bila mafanikio
kamanda ras makunja kazima simu. tukampata mmoja wa wanamuziki
wa bendi hiyo ambaye alisema kweli kambi ilishika moto lakini moto huo
haUkufika katika ukumbi wa mazoezi,kwani ukumbi wa mazoezi upo chini
under ground ambako si rahisi kufika.
 
jengo hilo pia ni kituo cha vijana
na ofisi za tasisi mbali mbali zinazoshughulika na mambo ya utamaduni.
chanzo cha moto huo mpaka sasa hakijajulikana, lakini inaonyesha ulianzia katika papipa ya taka yaliyowekwa karibu na mlango.