Friday, December 04, 2015

NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO



NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO
Wanyama aina ya Nyati wanane wakiwa wamekufa baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso kwenye mbuga ya Wanyama ya Mikumi na kusababisha foleni ya magari. Tukio hili limetokea alfajiri ya leo tarehe 4 Desemba 2015.