Misao Okawa alifariki katika kituo cha uangalizi mjini Osaka,mji ambao alizaliwa mwaka wa 1898. Okawa amewaacha vitukuu sita na wajukuu wanne . Kufuatia kifo chake kuna madai kwamba kumesalia watu wanne pekee wanaodaiwa kuwa hai ambao walizaliwa karne ya kumi na tisa. Wote ni Wanaume huku mwanamume wa mwisho akifariki mwaka 2013.