Wednesday, April 01, 2015

MTU MWENYE UMRI MKUBWA AFARIKI DUNIANI



MTU MWENYE UMRI MKUBWA AFARIKI DUNIANI
Misao Okawa alifariki katika kituo cha uangalizi mjini Osaka,mji ambao alizaliwa mwaka wa 1898.

Okawa amewaacha vitukuu sita na wajukuu wanne .
Kufuatia kifo chake kuna madai kwamba kumesalia watu wanne pekee wanaodaiwa kuwa hai ambao walizaliwa karne ya kumi na tisa.
Wote ni Wanaume huku mwanamume wa mwisho akifariki mwaka 2013.