Friday, February 27, 2015

RAIS KIKWETE AWEKA SHADA LA MAUA KATIKA MAKABURI YA MARAIS LUSAKA



RAIS KIKWETE AWEKA SHADA LA MAUA KATIKA MAKABURI YA MARAIS LUSAKA
unnamed
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata aliyefariki mwaka jana katika eneo la maziko ya viongozi wa kitaifa jijini Lusaka Zambia leo.Rais Kikwete alitumia  wasaa huo pia kuweka shada la maua katika marais wa Zambia waliofariki Marehemu Frederick Chiluba na Levy Mwanawasa. (picha na Freddy Maro)