Thursday, December 11, 2014

MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA KUFANIYIKA JIJINI DAR DESEMBA 31,2014



MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA KUFANIYIKA JIJINI DAR DESEMBA 31,2014
 Mwenyekiti wa kamati ya Maandalizi  ya Mkesha Mkubwa wa kuliombea Kitaifa ,Askofu Godfrey Emmanuel Malassy (wa Nne  kutoka kulia) akiongea  na wandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mkesha huo utakaofanyika kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam Desemba 31,2014.Dhima ya mkesha wa mwaka huu ni kumshukuru Mungu kwa awamu 4 ya uongozi wa Taifa letu na kuliombea Taifa katika kipindi chote cha mchakato wa uchanguzi mkuu wa mwaka 2015.Kutoka kulia ni Askofu Nickson Kallinga, Mchungaji Derrick Luhende, Askofu William Mwamalanga, Makamu Mwenyekiti wa mkesha huo, Askofu Keneth Dismas, Mchungaji Debora Mallasy (Mjumbe), Mama Mchungaji Olivia Mallongo (Mjumbe) na Debora Elisha (Mjumbe) 
 Mchungaji  Olivia Mallongo  Akizungumza jambo na wandishi wahabari(hawapo pichani) kuhusu Maandalizi ya mkesha utakaoo fanyika uwanja wa taifa Desemba 31, 2014
Baadhi ya wandishi wa habari wakifatilia na kuchukuwa habari