Sunday, December 07, 2014

MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KWA MAHESABU BORA NCHINI KWA ZAIDI YA MAKAMPUNI



MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAIBUKA MSHINDI WA JUMLA KWA MAHESABU BORA NCHINI KWA ZAIDI YA MAKAMPUNI

 Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (watatu kushoto mstari wa mbele) akimkabidhi tuzo ya Mahesabu Safi kwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani  Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. Hosea Kashimba baada ya PPF kuwa mshindi wa jumla katika sherehe zilizoandaliwa na Bodi ya Taifa ya ukaguzi wa Hesabu nchini (NBAA) zilizofanyika jijini Arusha. Wengine pichani  ni Mwenyekiti wa bodi ya NBAA, Profesa Isaya Jairo (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibuiti  Mifuko ya Jamii, Irene Isaka (wapili kushoto), kulia ni Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele (kulia) na wafanyakazi wa mfuko huo.
 Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (watatu kushoto mstari wa mbele) akimkabidhi tuzo ya Mahesabu Safi kwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani  Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. Hosea Kashimba baada ya PPF kuwa mshindi wa jumla katika sherehe zilizoandaliwa na Bodi ya Taifa ya ukaguzi wa Hesabu nchini (NBAA) zilizofanyika jijini Arusha. 
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima (wapili kushoto) akifurahi pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF mara baada ya kuwakabidhi tuzo ya Mshindi wa Jumla wa Mahesabu Safi kwa mwaka 2013 katika sherehe zilizoandaliwa na NBAA
 Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele akiwa na tuzo hiyo ya Mshindi wa Jumla mara baada ya kukabidhiwa na Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima jijini Arusha.
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii