Tuesday, November 25, 2014

UZINDUZI WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA WAFANYIKA JIJINI DAR



UZINDUZI WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA WAFANYIKA JIJINI DAR
_N0A0439
Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Habari, vijana, utamaduni na michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, akiongea neno wakati wa uzinduzi.

_N0A0239
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba akielezea jambo katika hafla za uzinduzi wa Tuzo za Filamu Tnzania zilizofanyia mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam._N0A0270 Vijana kutoka Kigamboni Community Center wakitoa burudani wakati wa hafla za  uzinduzi wa Tuzo za Filamu Tnzania zilizofanyia mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.