Mganga mfawidhi katika                kituo cha afya Buguruni,Dk. Mwajuma Mbaga (kushoto)                akipokea msaada wa mabechi ya kukalia wagonjwa wakati                wakisubiri huduma kutoka kwa Kaimu Meneja Uhusiano wa                Kampuni ya Mawasiliano ya Simu Tanzania (TTCL),Bw. Edwin                Mashasi wakati wa hafla fupi ya makabidhiano,iliyofanyika                leo Novemba 19,2014. 
                Mganga mfawidhi katika                kituo cha afya Buguruni,Dkt. Mwajuma Mbaga akiwa katika                picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi wa kituo hicho.Kulia                waliokaa ni Kaimu Meneja Uhusiano wa TTCL Bw. Edwin                Mashasi.
                Sehemu ya mabenchi                yaliyotolewa na kampuni ya simu Tanzania (TTCL). Msaada                huo umegharimu shilingi milioni moja na laki saba. 
                Wafanyakazi wa kituo cha                afya Buguruni katika picha ya pamoja. 
        


